Recent content by Kilwa94

  1. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Hata wangelipwa mamilioni bado haitoshi. Kazi yao ni ya kufa muda wowote. Je hiyo pesa nyingi ina maana mbele ya uhai? Men in uniform are pratriotics.
  2. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Naendelea kusisitiza asitokee kima yoyote kuniaminisha kwamba ukiwa na elimu unastaarabika na hata matendo yako yanakuwa ya kisomi. Mara kadhaa tumekuwa tukiwananga mapolisi hawana elimu ndio maana hutumia nguvu kuliko... Mbona huyu daktari ni msomi ila kafanya ufala ambao hata mwanangu wa...
  3. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Tusipowapenda wanakatwa mishahara yao? 😂
  4. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Alitoa wapi nguvu ya kujimwambafai kwa mapolisi hakujua hao ni dola ya nchi.!
  5. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Asitokee kima yoyote kuniambia mapolisi matendo yao huchagizwa na kukosa elimu. Huyu daktari ni msomi je alichofanya kimechagizwa na usomi wake? Habari njema kwangu ni kusikia huyo mbuzi anapambania uhai wake baada ya kuchezea kipigo kutoka kwa raia ambao tunatii sheria, mamlaka na taaluma za...
  6. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Waislam akili kubwa sana. Kwenye hili nimependa misimamo yetu ni mikali.
  7. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Uwahi polisi kufanyaje? si huwa tunasema polisi wa Tz hawafai, hovyo na hawana msaada. Mi naona tukiyatimba tupambane kiume wenyewe.
  8. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    "Bikra Maria mama wa Mungu utuombee"😀😂
  9. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Usalama Barabarani SMART TRAFFIC MANAGEMENT

    Bora lawama kwa matrafiki(mapolisi) ziishe.
  10. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Mbona majambazi yamepotea?

    Acha uongo wewe mbuzi wa shamba.
  11. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Mbona majambazi yamepotea?

    Acha kutushikia akili na kuchafua mapolisi wewe kuku pori.
  12. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Ndugu yangu ambaye ni askari Polisi yupo UN mwaka wa pili sasa akihudumu kama POLICE ADVISOR kwenye maswala kadhaa.... Kazi ambayo inakupa exposure na heshima za kimataifa ni mbaya! Acha kushikiwa akili, mtu akikuchukia na kukudharau kisa kazi yako hana atakachokupunguzia yeye si Mungu
  13. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Sasa JWTZ ina kipi cha upekee mkuu, zipo taasisi kadhaa zinawazidi kwa maokoto(mishahara)
  14. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Jeshi halitalinda yeyote muandamanaji ukitoka tu wewe ni mfanya vurugu na utadhibitiwa kwa mujibu wa sheria

    Kama Polisi inaogopwa hivi hapa Malawi, mimi ni nani niandamane hiyo siku.Siwezi!
Back
Top Bottom