Takukuru sio raia wa kawaida; wana mafunzo ya kijeshi na ndio maana wanaongozwa na Mwanajeshi/askari.
Saivi kozi yao wanapigia Chuo cha Taaluma ya polisi(MOSHI)kwahiyo haiwezekani ikawa taasisi lelemama lazima iongozwe kijeshi.
Ukiondoa posho ya utawala kwa viongozi, hizi posho wanazolipwa vyombo vya dola ni kutokana na ugumu wa kazi yao(night duties&higher risk of being killed for the sake of raia) na kukosa muda wa kujitafutia kipato nje ya mshahara muda mwingi hutumia wakiwa kazini.
Njoo kwa walimu;kwa mwaka...
Kadri unavyojituma kutafuta madem basi zoezi hilo huwa ni rahisi zaidi(utawapata sana)
Sijui kuna uhusiano gani kati ya jitihada ya kuwatafuta na wao kukubali kirahisi.!!
una chuki za kifala kabisa.Kwani hizo sheria wanazotekeleza polisi walitunga wao?Mbona hulichukii bunge lililopitisha & kutunga sheria hizo.!
Tutii sheria za nchi;kutii ni uzalendo kwa nchi.
Uchawi kila pahala upo Rukwa huko na mikoa ya kisukuma ni wachawi mno ila mbona wanapiga hatua? Serikali inawapiga tafu.
Acheni mila zenu za hovyo kuamini kila jambo baya kusini ni uchawi.Umeelewa wewe mshangazi!?
Arusha hakuna jipya pale mjini vijana kazi ni kuvuta bangi,uhuni na kujibembelezesha kwa wageni(mtaliwa ndogo),tena hapo serikali imejitahidi sana kuwekeza pale mjini.
nenda huko wilayani sasa ndugu zako wanalala kwenye vijumba hivyo hadi aibu,vijumba vimebandikwa kwa tope la mavi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.