Recent content by Kilwa94

  1. Kilwa94

    Nje ya wasabato wanawake wakristo wengi wanavaa "Nusu uchi" wameacha kuiga mfano wa mavazi ya Bikira Maria

    Ni tabia yenu ya kupitisha namba za simu zilizoandikwa kwenye karatasi ili waumini wachague wachumba mama wa Mungu(bikra Maria) aliifanya?! 😃
  2. Kilwa94

    Kulazimika kuweka taarifa za kabila na dini kwenye nyaraka za serikali

    Ukienda kutoa taarifa kituo cha polisi watakuliza:kabila na dini yako. Inakera!!
  3. Kilwa94

    Mwenendo na ukatili wa askari wetu unatafakatisha na kuhuzunisha

    Hoja yako ni dhaifu, hapo Kenya walishatoka huko kwenye mfumo wa Force na sasa wanatumia service ila mbona utendaji kazi wao ni kama huu wa vyombo vyetu vya Tz! Acheni kuiga kwa nchi za magharibi.
  4. Kilwa94

    GE2025 Pamoja na Tume ya Uchaguzi kutoa ratiba. Lakini dalili ziko wazi Uchaguzi Mkuu hautakuwepo

    Mkuu mbona kama unataka kunipa furaha!? Mungu saidia ndugu yetu kwenye Avatar yangu ashike hatamu za kuendesha huyu ngamia.
  5. Kilwa94

    Ndugu zangu waislamu mnaposema peponi wanaume watakuta mabikra 72 na je wanawake watakuta wanaume mapafu ya mbwa 72

    "Bikra Maria, Mama wa Mungu" Tafsiri isiyo rasmi: 👉Bikra Maria alizaa Mungu. 👉Kabla ya bikra kuzalishwa dunia haikua na Mungu(Yesu). 👉Mungu alizaliwa na sasa amekufa. "Yesu Kristo Mungu baba wa mbinguni" Tafsiri isiyo rasmi: 👉Yesi ni Mungu 👉Hakuna mwingine wa kumuomba isipokuwa Yesi...
  6. Kilwa94

    Je JWTZ wako tayari kumlinda aliyevunja Katiba?

    Hakuna unachokifahamu vyombo vya dola vina mgawanyo wa kiutendaji. 👉Mamlaka ya kulinda viongozi wa nchi ipo TISS. 👉 mamlaka ya kulinda raia ipo polisi ndio maana Viongozi wa juu wa nchi wana Polisi na TISS katika misafara yao na hata kwenye makaazi yao. Viongozi wa nchi pia ni raia...
  7. Kilwa94

    Polisi wengi wa Tanzania wana tamaa mbaya ya pesa

    Mapolisi siwezi kuwalaumu maana hizo njaa zao zimeletwa na serikali yao.
  8. Kilwa94

    Hivi kwanini Wanawake wa kiislamu ndiyo wanaongoza kuolewa?

    Tunaoamini bikra Maria ni mama wa Mungu, mabinti zetu wanafeli wapi?😀
  9. Kilwa94

    Tetesi: GE2025 Waliopenya kamati za CCM wilaya na walioliwa vichwa

    ndege JOHN hapo Kilwa Masoko wajumbe hawajamaliza?
  10. Kilwa94

    GE2025 Kilwa Kaskazini; Mbunge anayemaliza muda wake avunjika mguu akisubiri usaili wa ubunge. Mtia nia mwingine afariki kwa ajali akienda kuchukua fomu

    Hata huku kwenu tulipo tunaambiwa wana uchawi mchafu ule wa Matunguli. Bora hao Kilwa wanatumia visomo(Qur'an).
Back
Top Bottom