Hoja yako ni dhaifu, hapo Kenya walishatoka huko kwenye mfumo wa Force na sasa wanatumia service ila mbona utendaji kazi wao ni kama huu wa vyombo vyetu vya Tz! Acheni kuiga kwa nchi za magharibi.
"Bikra Maria, Mama wa Mungu"
Tafsiri isiyo rasmi:
👉Bikra Maria alizaa Mungu.
👉Kabla ya bikra kuzalishwa dunia haikua na Mungu(Yesu).
👉Mungu alizaliwa na sasa amekufa.
"Yesu Kristo Mungu baba wa mbinguni"
Tafsiri isiyo rasmi:
👉Yesi ni Mungu
👉Hakuna mwingine wa kumuomba isipokuwa Yesi...
Hakuna unachokifahamu vyombo vya dola vina mgawanyo wa kiutendaji.
👉Mamlaka ya kulinda viongozi wa nchi ipo TISS.
👉 mamlaka ya kulinda raia ipo polisi ndio maana Viongozi wa juu wa nchi wana Polisi na TISS katika misafara yao na hata kwenye makaazi yao. Viongozi wa nchi pia ni raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.