Recent content by Kilwa94

  1. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Uwahi polisi kufanyaje? si huwa tunasema polisi wa Tz hawafai, hovyo na hawana msaada. Mi naona tukiyatimba tupambane kiume wenyewe.
  2. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    "Bikra Maria mama wa Mungu utuombee"😀😂
  3. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Usalama Barabarani SMART TRAFFIC MANAGEMENT

    Bora lawama kwa matrafiki(mapolisi) ziishe.
  4. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Mbona majambazi yamepotea?

    Acha uongo wewe mbuzi wa shamba.
  5. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Mbona majambazi yamepotea?

    Acha kutushikia akili na kuchafua mapolisi wewe kuku pori.
  6. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Ndugu yangu ambaye ni askari Polisi yupo UN mwaka wa pili sasa akihudumu kama POLICE ADVISOR kwenye maswala kadhaa.... Kazi ambayo inakupa exposure na heshima za kimataifa ni mbaya! Acha kushikiwa akili, mtu akikuchukia na kukudharau kisa kazi yako hana atakachokupunguzia yeye si Mungu
  7. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Sasa JWTZ ina kipi cha upekee mkuu, zipo taasisi kadhaa zinawazidi kwa maokoto(mishahara)
  8. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Jeshi halitalinda yeyote muandamanaji ukitoka tu wewe ni mfanya vurugu na utadhibitiwa kwa mujibu wa sheria

    Kama Polisi inaogopwa hivi hapa Malawi, mimi ni nani niandamane hiyo siku.Siwezi!
  9. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Polisi Kigoma: Tumekuta vidonge kwenye chumba cha dereva wa John Heche.Uchunguzi unaendelea zaidi

    Ulitaka mamlaka ganí nyingine inayotambulika kisheria ishirikishwe? Wenye hilo jukumu ni polisi.
  10. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania BBC: Kuna nini Tanzania? Polisi wenye silaha za moto watanda maeneo mengi

    Wangapi wamelaaniwa mpaka leo hii naomba takwimu.
  11. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Warembo wa Singida, Kondoa na Manyara wapewe maua yao kwa kuipendezesha Arusha, Ni pisi Natural kali

    Warangi tawatafuna sana maana nawapenda.
  12. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Nje ya wasabato wanawake wakristo wengi wanavaa "Nusu uchi" wameacha kuiga mfano wa mavazi ya Bikira Maria

    Ni tabia yenu ya kupitisha namba za simu zilizoandikwa kwenye karatasi ili waumini wachague wachumba mama wa Mungu(bikra Maria) aliifanya?! 😃
  13. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Kulazimika kuweka taarifa za kabila na dini kwenye nyaraka za serikali

    Ukienda kutoa taarifa kituo cha polisi watakuliza:kabila na dini yako. Inakera!!
  14. Kilwa94

    JamiiForums Tanzania Mwenendo na ukatili wa askari wetu unatafakatisha na kuhuzunisha

    Hoja yako ni dhaifu, hapo Kenya walishatoka huko kwenye mfumo wa Force na sasa wanatumia service ila mbona utendaji kazi wao ni kama huu wa vyombo vyetu vya Tz! Acheni kuiga kwa nchi za magharibi.
Back
Top Bottom