Ndugu yangu ambaye ni askari Polisi yupo UN mwaka wa pili sasa akihudumu kama POLICE ADVISOR kwenye maswala kadhaa....
Kazi ambayo inakupa exposure na heshima za kimataifa ni mbaya! Acha kushikiwa akili, mtu akikuchukia na kukudharau kisa kazi yako hana atakachokupunguzia yeye si Mungu
Hoja yako ni dhaifu, hapo Kenya walishatoka huko kwenye mfumo wa Force na sasa wanatumia service ila mbona utendaji kazi wao ni kama huu wa vyombo vyetu vya Tz! Acheni kuiga kwa nchi za magharibi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.