Recent content by Kilwa94

  1. Kilwa94

    Maswali yangu kadhaa kwa wataalam wa mambo ya ulinzi na diplomasia kuhusu kinachoendelea huko Haiti

    Kiongozi wa hilo genge tawala huko Haiti ni afisa wa polisi. Hii ina maana gani? Yamkini vyombo vya dola vimekula njama ya kuiangusha dola(serikali).
  2. Kilwa94

    TAKUKURU isiongozwe na Askari. Inahitaji katiba ya Dkt. Hosea kuifufua

    Takukuru sio raia wa kawaida; wana mafunzo ya kijeshi na ndio maana wanaongozwa na Mwanajeshi/askari. Saivi kozi yao wanapigia Chuo cha Taaluma ya polisi(MOSHI)kwahiyo haiwezekani ikawa taasisi lelemama lazima iongozwe kijeshi.
  3. Kilwa94

    Serikali ianzishe posho ya walimu ili kudumisha uzalendo kwa kizazi cha Watanzania

    Ukiondoa posho ya utawala kwa viongozi, hizi posho wanazolipwa vyombo vya dola ni kutokana na ugumu wa kazi yao(night duties&higher risk of being killed for the sake of raia) na kukosa muda wa kujitafutia kipato nje ya mshahara muda mwingi hutumia wakiwa kazini. Njoo kwa walimu;kwa mwaka...
  4. Kilwa94

    Kupendwa na wanawake(Nyota ya Wanawake)

    Kadri unavyojituma kutafuta madem basi zoezi hilo huwa ni rahisi zaidi(utawapata sana) Sijui kuna uhusiano gani kati ya jitihada ya kuwatafuta na wao kukubali kirahisi.!!
  5. Kilwa94

    Mauaji ya wabeba mkaa maarufu 'booster'

    kumbe maliasili ni polisi?
  6. Kilwa94

    Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

    Ubora gani Tabora?: ushamba! Mauaji! au uvivu! kamji kadogo ukienda kidogo tu nyumba za tope[emoji1]
  7. Kilwa94

    Bashungwa awaasa Vijana kutotumia Pombe muda wa kazi

    Acha kuliombea taifa kuingia katika madhila.
  8. Kilwa94

    Jeshi la polisi laanza operesheni ya kubandua namba za magari za 3D

    una chuki za kifala kabisa.Kwani hizo sheria wanazotekeleza polisi walitunga wao?Mbona hulichukii bunge lililopitisha & kutunga sheria hizo.! Tutii sheria za nchi;kutii ni uzalendo kwa nchi.
  9. Kilwa94

    Nawezaje kutibu shida ya kibamia

    Dawa zipo ila nimefuatilia zina madhara mkubwa sana hapo maadaye;Mashine itakuwa haisimami vizuri.
  10. Kilwa94

    Ifike mahali huko kusini mkuheshimu sana! Leo wametest mitambo tena

    Uchawi kila pahala upo Rukwa huko na mikoa ya kisukuma ni wachawi mno ila mbona wanapiga hatua? Serikali inawapiga tafu. Acheni mila zenu za hovyo kuamini kila jambo baya kusini ni uchawi.Umeelewa wewe mshangazi!?
  11. Kilwa94

    Lindi na Mtwara kwanini ni Maskini? Wana Bahari, Gesi na Korosho na ilitoa Rais wa awamu ya 3!

    Arusha hakuna jipya pale mjini vijana kazi ni kuvuta bangi,uhuni na kujibembelezesha kwa wageni(mtaliwa ndogo),tena hapo serikali imejitahidi sana kuwekeza pale mjini. nenda huko wilayani sasa ndugu zako wanalala kwenye vijumba hivyo hadi aibu,vijumba vimebandikwa kwa tope la mavi ya...
Back
Top Bottom