Recent content by kilonzoshetui

  1. K

    Alinitukana matusi makali akaniacha ,Jana ananitafuta ananiambia habari za kuhitaji mtoto

    Anachotafuta kwako ni kukuua tu. Mshahara wa dhambi ni mauti. Usikubali kurudi Misri(utumwani). Pima afya yako, rejea kwa Mungu tubu na atakuweka huru na kukupatia mke mwema na kukupa amani ya mawazo
  2. K

    Ndoa ni tamu sana

    Mtoa hoja Mungu wetu si wa michanganyo. Kama mtu amekuwa mwaminifu kwa Mungu hilo suala la mchepuko mstarabu halipo, huo ni uzinzi tu kama ilivyo kahaba/mzinzi yeyote hakuna cha ustarabu, atendaye dhambi ni wa ibilisi
  3. K

    Rais Magufuli awatunuku vyeti wajumbe wa kamati za Makinikia; akanusha taarifa za mapato ya Serikali kupungua

    Wale mliotumia neno" mpuuzi" ndiye atafuatilia mnakosea kiswahili. Mpuuzi ni nomino ambayo kitenzi chake ni puuza ama puuzia. Kwa hyo ambao hawatafuatilia vyeti vikitolewa ni wapuuzi maana wamepuuzia jambo lenyewe
  4. K

    Mbowe: Dereva wa Lissu akirudi Tanzania anaweza akauawa

    Kwa hiyo wananchi michango yao wanayotoa inakwenda kumtibua dereva kisaikolojia na kumwezesha kuishi uhamishoni
  5. K

    Je, kwa Wakristo yawezekana kumbatiza mtoto ambaye amezaliwa pasipo wazazi kufunga ndoa?

    Hakuna ubatizo wa mtoto katika biblia. Biblia inasema aaminiye na kubatizwa....
  6. K

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Kazi za ndani upo tayari?
  7. K

    Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    Sisi kwetu wapinzani tunawaita vyama rafiki maana jina linaumba, mpinzani anapinga kila kitu hata pale jambo linapohitaji utaifa mtu anatafuta kick. Viva Magufuli viva Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Wakati mwingine jina linaharibu, ukiitwa mpinzani unapinga kila kitu Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
  9. K

    SIAYA, KENYA: Aliyekuwa msimamizi msaidizi katika Uchaguzi Mkuu akutwa ameuawa huko Sega

    Tuwaombee jirani zetu Mungu awaongoze maisha yarejee ktk usalama visa na visasi vifike tamati Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom