ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,798
- 13,536
Mhh Yaan acha tu kwakweli bora wakuuwe kuliko kukuachia fedhehaYap ABJ unakuta labda mmevamiwa na majambazi unafanyiwa ivo mbele ya mumeo imagine maumivu unayo baki nayo hapo
Mhh Yaan acha tu kwakweli bora wakuuwe kuliko kukuachia fedhehaYap ABJ unakuta labda mmevamiwa na majambazi unafanyiwa ivo mbele ya mumeo imagine maumivu unayo baki nayo hapo
Duniani kuna magumu nyie sikieni tuMhh Yaan acha tu kwakweli bora wakuuwe kuliko kukuachia fedheha
Siyo wote mkuu, siwezi sujudu pesa hata siku moja tena ya mwanaume labda ninayoitafuta mwenyewe kwa njia halali. Pesa ni chanzo cha dhambi mkuu. Pia kwa mwanamke anayejitambua na kujithamini hawezi fanya huo upuuzi. Bora nionekane mshamba tu kwakweli.mnasujudia sana pesa mlio wengi kwenye mahusiano,ukishatanguliza maslahi kwenye mapenzi ,hayo mdio madhara yake,0712 utatoa tuu
Sana sanaDuniani kuna magumu nyie sikieni tu
ni kweli mkuuSiyo wote mkuu, siwezi sujudu pesa hata siku moja tena ya mwanaume labda ninayoitafuta mwenyewe kwa njia halali. Pesa ni chanzo cha dhambi mkuu. Pia kwa mwanamke anayejitambua na kujithamini hawezi fanya huo upuuzi. Bora nionekane mshamba tu kwakweli.
Na nyie wanaume mnasujudu nini hata mtake tigo? Pesa yako inakufanya utende dhambi.
Kubali, kataa, pesa ni chanzo kikubwa cha dhambi usipokuwa na AFYA KIROHO.
Nashukuruni kweli mkuu
Ni kweli kabisa, si kila zawadi ni yakupokea, Mungu aendelee kutupa uthubutu kushinda majaribu.Hata mkizawadiwa mkatae muwaache na laana zao, nimesikia uchungu na huruma.
Wazazi tujitahidi sana kulea watoto wetu kwenye misingi ya kumjua Mungu na kuwa na hofu ya Mungu.
Kwa akili yangu timamu sitafanya huo ushetani lbd tu itokee kunyweshwa madawa ya usingizi au kubakwa na nilishanuwia atakaenifanyia ivo yeye na uzao wake utakufa umesimama wima km mti
Anachotafuta kwako ni kukuua tu. Mshahara wa dhambi ni mauti. Usikubali kurudi Misri(utumwani). Pima afya yako, rejea kwa Mungu tubu na atakuweka huru na kukupatia mke mwema na kukupa amani ya mawazoSalama wana MMU
Kuna mabinti wengine ni wajinga sana
Nlikua nadate na binti flani wa miaka 20 hivi,nlimpenda huyu binti kutokana na mambo matamu aliyokua ananipa
Lakini kutokana na rika lake ikawa ni mahusiano ya migogoro ,mara aniache tena kwa matusi mwisho wa siku anarudi tena kwangu
Mimi nliendelea kuwa nae kutokana na utoaji wake wa 0714 so mwisho wa siku nikamwona kama chombo cha starehe tu mapenzi kwake yakaisha
Sasa kuna wakati aliomba hela kwa mzazi wake akamdanganya anaenda kulipa ada chuo na akaniomba nikipigiwa simu na dingi ake nikubali hizo pesa nimepewa Mimi kama mkuu wa chuo
Ile pesa kainunulia simu,babake akaanza kunisumbua kutaka risiti mi nikambadilikia sijapokea hela yoyote toka kwa binti yake amuulize vizuri
Baada ya siku kadhaa binti kaanza kunitukana na kuniambia niachane nae ,mi nikampotezea nikaendelea na mishe zangu ,yapata miezi minne Jana ananitafuta ananiambia nimsamehe manake amezunguka kwa wanaume mbalimbali hajaona mkweli na mwenye mapenzi ya kweli kama Mimi ingawa sikuwa nampa hela nyingi
Akaendelea anataka nimzalishe tu awe na mtoto na ameamua kuacha tabia yake ya kuliwa ndogo ,anataka kuwa mama bora na amebadilika kitabia
Nimeshindwa kumwelewa nini kimemkuta hadi aamue kunifuata tena
Demu ni nzuri ila kutokana na mienendo yake naogopa hata kuwa nae tena karibu ,ana miaka 20 sasa ila anajifanya mtoto wa mjini sana ,sasa sijui ni nn hasa anachokitafuta kwangu ingawa mi nlimshamtoa moyoni na hata mawasiliano yake nlifuataga
Nimfanyaje huyu aache kunizoea tena.??
Sawahahahahahaaa.
maneno tu hayo mkuu
Inaliwa kwa usiyempenda?Mmmh unayempenda unakulaje hiyo 0714?