Mshana j wewe ni azina ya taifa tangia nimeanza kusoma post zako zimenipa mwanga sana kuhusu mambo ya kiimani hasa mambo yale ya matunguli, NIKIONA TUU UZIWAKO NASOGEZA KITI VIZURI
Mkuu kumbuka bongo fleva ni waimbaji na si wanamuziki mwana mziki ni lazima aweze kuimba live, Mziki wa live nimzuri sana una rahayake kama wewe ni mpenzi wa mzuki nadhani utakuwa unanielewa vizuri, kwamfano kuna mwana muziki Saida karoli huyu mama live anaiweza sana sana sana, pia hata barnaba...
Mkuu vipato vinatofautiana yawezekana ima muuma kwakuwa kipato chake nikidogo alafu hakitoshi mahitaji yake, ingawaje pesa haijawahi kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Boda boda wa dar ni wajinga sana kitendo chakumsimulia mtu kuwa umempeleka abiria sehem flani huo ni umama kwani kazi yake ni kumpeleka abiria anapo kwenda na si vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.