Bodaboda wana siri nzito

Bodaboda wana siri nzito

Kuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
Sasa wewe kama na wenyewe wapo humu si unampa mwenzio mambo yasio julikana ohooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
Tea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
Muonye.Hana kifua.Atapotezwa.
 
Ni ujinga kuweka akili na maisha yako kwenye mwili wa mwenzako . Kama ni wa kugongwa atagongwa tu. Fanya kazi mjinga mleta thread.
 
Wengi tuu wanaona wake zao hawana hizo mambo ila wa wenzao ndo wana hizo mambo. Jirani yako anaona mkeo ndo mwenye hizo mambo na wewe unaona mke wa jirani ndo mwenye hizo mambo.
hahahah
 
Ushahidi: mm ni bodaboda, kuna mama mmoja mke wa mtu anapenda sana kunitumia kumpeleka sehemu za mishe yake.
Sasa huwa mumewe anasafiri safiri sana. Hivyo mama huniomba nimpeleke kwa mchepuko wake mida ya saa mbili usiku halafu nikamchukue SAA 4 usiku. Huwa hataki arudishwe na usafiri wa mchepuko.

Ikatokea na mm nimezoeana na binti yake pia, nikaanza kumla binti. Mama siku moja akanifunania ktk uchochoro na binti yake akaanza kunipiga biti.
Nami nikamtishia kuwa nitatoa siri. Akaufyata

Tukapatana na akaendelea kunitumia kumpeleka kwa mchepuko wake. Kuna Siu nikamkomalia kwamba sitaki hela nataka nyapu. Mama akawa hana namna akanipa nyapu. Nikawa nimefanikiwa kula mama na maana

Bodaboda ni bonge la kazi
huyo mama alikuwa si mzima kichwani..

umtishie nyau..eti useme kwa mumewe

anakugeuzia kibao kwa kukutega na binti yake..mzee hatakuamini na zaidi huna ushahidi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushahidi: mm ni bodaboda, kuna mama mmoja mke wa mtu anapenda sana kunitumia kumpeleka sehemu za mishe yake.
Sasa huwa mumewe anasafiri safiri sana. Hivyo mama huniomba nimpeleke kwa mchepuko wake mida ya saa mbili usiku halafu nikamchukue SAA 4 usiku. Huwa hataki arudishwe na usafiri wa mchepuko.

Ikatokea na mm nimezoeana na binti yake pia, nikaanza kumla binti. Mama siku moja akanifunania ktk uchochoro na binti yake akaanza kunipiga biti.
Nami nikamtishia kuwa nitatoa siri. Akaufyata

Tukapatana na akaendelea kunitumia kumpeleka kwa mchepuko wake. Kuna Siu nikamkomalia kwamba sitaki hela nataka nyapu. Mama akawa hana namna akanipa nyapu. Nikawa nimefanikiwa kula mama na maana

Bodaboda ni bonge la kazi
Mkuu ulifaidi sana... Uliwapiga wote kavukavu?
 
Boda boda wa dar ni wajinga sana kitendo chakumsimulia mtu kuwa umempeleka abiria sehem flani huo ni umama kwani kazi yake ni kumpeleka abiria anapo kwenda na si vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio boda boda wa Dar tu, ni boda wote nchini. Ukishamzoea na kuwa na viratiba vya kumuita Mara kwa Mara mnazoeana na unapata habari zote za mtaa/eneo husika. Wako vizuri kwenye kukusanya na kutafuta habari. Boda boda na wauza maduka haya ya mtaani sio watu poa! Anytime wanamwaga mchele tu ukishazoeana nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna boda mmoja nilipiga nae stori akaniambia huwa anaenda maeneo ya mbezi beach kwenye nyumba ambayo ipo underground then anakabidhiwa unga anausafirisha kwa boda kwenda moro ambapo akifika anapokelewa kwa ulinzi mzito kwenye nyumba ambayo ipo nje ya mji wa ,moro.........
Aisee.... We jamaa una hatari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom