Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Mlioa/kuolewa dini tofauti nahitaji ushauri

Watu wachache sana waliofikia high level of civilization ndiyo wanauwezo wakufanya maamuzi kama yako
Realshyt, ma nigga couz! Lazma ufikirie tofauti na wengine at times japo kuna watu hawatanielewa. Thats my M.O!
 
Kwanza humu kwenye makanisa ya kipentekoste tuna abudu na watu kila dini tupo nao, kila mtu anakuja kwa shida zake, mtu anatoka kwake kama anaenda kariakoo na kichwa gubigubi, kumbe anaenda kukanyaga mafuta ya upako .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wananichekeshaga mpaka basi ukiwaona walivyotimutim nywele utadhan katoka kulima kumbe anaogopa tu kujulikana kaja kufanyiwa maombezi
 
Kibo!!

Kwani wa dini yako wamekwisha mkuu?!!! Hivi y tunapendaga kucomplicate mambo kiac hiki!!!!?.....yaani unaelewa kabisa kwamba athari za hiyo kitu, zitakuja kuchipua kwa watoto na normally watoto ndio familia yenyewe. But still unajitafakari, kweli....?!!!!! Nashindwa kuelewa unatafakari nini tena hapo?!!!! Au unaomba ushauri ili iweje?!!!!


Binafsi huwa siamini kwenye mambo ya kubadilishana dini. Most huwa naona ni uongo tu....yaani its impossible mtu alelewe kwenye dini fulani kwa takriban 20's years then wewe uje uibadilishe kwa 10's months...how comes?!!! Kama sio kudanganyana tu hapo.....after kitambo kidogo, migogoro inaanza kutake place ndani ya nyumba, shida yote ya nini!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni ke au ni me tuanzie hapo kwanza
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ushauri, simama imara katika ibada muombe mungu akupe ujasiri kuachana nae.
Muombe mungu akuletee wa dini yako.
Maana imani ni kitu muhim katika ndoa na eapecially katika ukuzaji wa watoto.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi huko kwenye uislamu na ukristu mbona mbali sana..!!! ULOKOLE NA UKATOLIKI, nayo ni shida sana ingawa wote ni wakristu. Kile kinachopelekea muwe na imani tofauti, ndiyo huwa tatizo kubwa sana.... MLOKOLE NA MKATOLIKI PALE KWENYE SANAMU etc panayumbisha sana.

Pambana uoe wa imani moja na wewe.... haya ya imani tofauti yana chalenge sana in future... kwa sasa in the name of LOVE mtayafukiafukia tu na pengine msizungumzie kabisa... LAKINI YANA HATARI SANA KWENYE AFYA YA NDOA
 
B
habarini wakuu katika pilika zangu za maisha nimebahatika kupata mchumba mwenyeji wa pemba muislamu safi,sasa mimi mkiristo yy anataka me nibadilishe dini niende uislamu lakini mimi sitaki nataka yy awe mkiristu anakataa anasema wazazi wake washika dini,yaani me kuwa muislamu siwezi halafu naogopa nikija kumuoa atawachanganya watoto dini kigezo changu awe mkiristu,yy hataki yaani nampenda nabaki na maumivu anataka tuachane kisa dini sijui nifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro tafuta wa dini yako.... zaidi ya hapo si ww wala yy... imani zenu zitashuka... na ili ndoa yako iwe na Amani... itabidi ww usiende kanisani na hata yy asiende Msikitini.... hapo ndio changamoto inapokuja..... wote mtapoa kiiamani. Kaoe wa Umani yako👍
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom