Habari za sikunyingi ndugu Zangu jukwaani?
Mtu akifuga mbuzi Faida yake ni nyama na maziwa
Kadhalika ng'ombe ninyama na maziwa kuku kondoo na vinginevyo navyo vina faida juu ya mfugaji wake.
Je umewai jiuliza ni ipi Faida aipatayo mfugaji wa Hawa viumbe wanao itwa bin Adam/ mimi na wewe ...
1)Kuna Amani
2)kuna uhuru
hivyo vitu utaviona umhimu wake sehemu mbili tu
1)ukiwa jera
2)ukiwa inchi ya watu na huna passport
Wasomalia,Sudanese,Congo wanLijua vizuri sana Hili
Tusisahau jambo moja mfaransa kasogea hapa upenuni kenya west kafukuzwa ananjaa baraa
Muisram kulumbana na mkristo au mkristo kulumbana na muisramu kisa dini zao
Haya Yana paswa kuwa mambo ya kale sana. Ni ujinga na ,utoto,
Acha miungu izi piganie dini zake yenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.