Recent content by Killing machine

  1. Killing machine

    Polisi Iringa wakamata vifaranga vikiwa vinasafirishwa

    Af huku nyuma majizi ya billions za watanzania na drugs dealers wanaachwa wanaishi free
  2. Killing machine

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Watanzania hatueleweki usishangae siku zijazo tukiomba Samia ajengewe mnara pale posta
  3. Killing machine

    Watanzania hawataandamana tena wameamua waishi maisha Yao

    Huenda ikawa hatari zaidi kuto kuandama kwao kuliko kuandama Kimya ni kiza ambacho ndani yake Kuna mengi yasiyo julikana na Yana weza kuwa mazuri au mabaya
  4. Killing machine

    Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa 🤔

    Bado ime fungwa mkuu utanitumia hivyo Kwa mda Kisha itakuja Kumladhi Kuna changamoto imetokea😀😀😀
  5. Killing machine

    Mbunge wa Uingereza ahoji alipo Netanyahu

    Hatuko naye tayali
  6. Killing machine

    DOKEZO Kujengwa kanisa la kilokole hapa Mwenge kwenye makazi ya watu, Mkurugenzi Halmashauri kuna kitu, Takukuru, NEMC amkeni

    Nafikili tungeangalia faida nyingi za kanisa zilizo nyuma ya hasara moja ya kanisa ambayo ni kelele
  7. Killing machine

    Tukipitisha sheria ya kuua au kufunga jela wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja basi haya maeneo yataathirika zaidi

    Nina wasiwasi na watungasheria pia kama yule mtoto wa diamond sidhani kama yupo sarama
  8. Killing machine

    Tukipitisha sheria ya kuua au kufunga jela wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja basi haya maeneo yataathirika zaidi

    Inasikitisha Sana mkuu serikali yetu nayo inaogopa kuchukua hatua Kali Kwa kukosa misaada Ya kifedha Yani Wana badilishana karatasi na vizazi vyetu
  9. Killing machine

    Hizi ni dalili au ishara ya kuwa na kibali kikubwa katika jamii na maisha yako

    Ndoto ambazo Kila mtu amewai kuota 1)kuota unapaa 2)kuota unakojoa huku unapiga mluzi 3)kuota unafukuzwa na una shindwa kukimbia 4)kuota unaangukia kwenye shimo leefu Kisha ghafra unazindukak kabla huja fika chini 5)kuota unafuku zwa na nyoka Hizo ni ndoto ambazo karibu Kila mtu huziota au...
  10. Killing machine

    Visa vya matapeli na watoto wa mjini

    Hiyo yakwanza mwisho😂😂
  11. Killing machine

    Ukikamatwa na Afisa wa LATRA barabarani, tulia kama unanyolewa. Sheria imewapa nguvu sana

    Wakiwa na shida na Hera lazima watachukua tu hwa watu hawakosagi kosa😀😀
  12. Killing machine

    Mlima Namanga wapasuka katikati na kuporomoka

    Lawama ziende Kwa mama hasa wizara ya utarii ana achaje mlima upasuke hivyo 😂😂
Back
Top Bottom