Definetly, because kuna wanao ajiliwa fresh from school due to their outstanding perfomance wakiwa degree graduates...but wanapewa madarasa ya undergraduate.
kuhusu kuwa full lecturer ina depend elimu years of experience na publications. na upandaji ni Tutorial assistant,assistant...
kwa namna moja au nyingine....faida yake ni kwamba inamuongezea uzoefu wa kazi ambayo inaweza kumpa nafasi ya kupata kazi sehem zingine. kwahio saa ingine it is not about how much you earn ni swala la kuangalia mbali.....maana hio customer care ipo within his field of study, sio kuuza chips.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.