soshoMidia
Member
- Nov 11, 2020
- 70
- 62
- Thread starter
- #101
unachoelezwa ndo kiko sahihi mimi kwenye maisha yangu siwez mpigia mtu magoti never bora nife na umasikini wangu kuna kijana nimemwacha pale anafanya kazi ila ni manyanyaso sana ila hana choice,, nina makosa yangu ndio ila ubinadamu kwanza haiwezekani uniletee godoro la nchi mbili tena chafu chafu nilalie kisa sina maisha never labda kama sijitambuiMe nampa ushauri dogo kutokana na nafasi yangu, sio lazima tuwe sawa kimtazamo , Fanya yako achana na mm ,nimekwambia niquote hujafanya alafu unanilazimisha nisome micomment yote acha ulafa
#huyo madam simtuhumu ila hana ubinadam japo kuwa ana mafanikio