Mhe. Rais John Pombe Magufuli amemteua Mama Anna Mghwira kutoka chama cha ACT Wazalendo kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akichukua nafasi ya Meck Sadick aliyejiuzuru.
SOURCE: Ikulu
Ipi njia rahisi; Rais kupeleka mswada bungeni au Lisu/Bashe kupeleka mswada Bungeni?? Rais ana back up ya wabunge wengi wa chama chake, Je Lisu anayo hiyo back up???
Mkuu hata serikali inaweza kuleta mswada wa kubadili hizi sheria mbovu bungeni, kama Rais anayo nia njema kweli kwanini asipeleke muswada Bungeni ili uungwe mkono na wabunge wa chama chake ambao ni wengi kuliko kusubiri wakina Lisu walete huo mswada?
Hivi unafahamu muswada wowote ili uwe sheria lazima Rais ausaini kwanza? Sasa kama Rais hana nia wala mwelekeo wa kudeal na sheria mbovu kwanza za madini unategemea atasaini hizo bills???
Mkuu TISS sio kama bodi ya korosho kule lindi useme unaweza kuivunja tu anytime...utatengeneza tatizo zaidi ya hili....solution Bunge limuwajibishe sizonje na vibaraka wake tu
Kwanza acha uongo wako, DA sio chama cha wazungu, kama kingekuwa ni chama cha wazungu kisingeongozwa na Mmusi Maimane ambaye ni mweusi pure.....Fa fa fa fa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.