Recent content by kilio

  1. kilio

    JamiiForums Tanzania KERO Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S COMPANY LTD tunapitia magumu, hakuna likizo. Uniform zetu zimechoka

    Hayo majina ukiyakuta nchi za watu, utapenda siyo Bongo.. unyanyasaji
  2. kilio

    JamiiForums Tanzania Utajuaje mwajiri anapokata PAYE (TAX) anawasilisha TRA?

    Mim ni Mtanzania pekee nafanya kazi katika kampuni ya kihindi lakini imetokea nje. Kapuni hii ilishinda tenda ya kutengeneza mfumo katika taasisi ya serikali. Kutokana na changamoto kati ya yeye na taasisi ya serikali, mambo siyo mazuri. To be honest project inahitaji mtaji mkubwa sana na...
  3. kilio

    JamiiForums Tanzania Kesho yako ipo kwenye kuongeza ujuzi

    Learn with us, You can't get those skills from master degree or PHD. No one wait for you. Geospatial Tanzania tunaamini Ujuzi ni chanzo cha kujiamini. Kama una ndoto ya kufanyakazi katika mashirika ya uma au tasisis binafsi. Tunawakumbusha mashirika ya uma na taasis binafsi yapo kwenye...
  4. kilio

    JamiiForums Tanzania Kuna sintofahamu kati ya elimu ya Tanzania na Mahitaji ya soko la ajira/kidijitari

    Mambo yanayofundishwa chuoni hayatumiki katika maisha ya kawaida, inategemea economy policy ya Tanzania na mahitaji ya nchi yako na nchi yako ime ji position vipi katika global economy. Kwa mfano mim binafsi nilisoma course inaitwa Computer Architecture. Hii course inausisha ufahamu wa n...
  5. kilio

    JamiiForums Tanzania Kuna sintofahamu kati ya elimu ya Tanzania na Mahitaji ya soko la ajira/kidijitari

    Kuna gepu la kutoelewana kati ya watanzania waliopata elimu ya juu na mahitaji yanaayohitajika kutatua changamoto za makampuni/Soko huria. Nimefatilia mahojihano mbali mbali ya watu wakilahumu vijana wamemaliza vyuo ila hakuna kazi. Nimefatilia mahojihano ya CEO wa NMB na chombo kimoja cha...
  6. kilio

    JamiiForums Tanzania Yaani miezi 10 naiona mingi hapa nyumbani kwa wazazi, mnanishaurije?

    Huna akili timamu. .Hiyo nyumba ni ya million 2 mpaka ukitoa hela ya kod unaharibu bajet
  7. kilio

    JamiiForums Tanzania KERO Tufanyeje kupata haki yetu kutoka NSSF?

    hapana, mkataba ukiisha wa kazi. Wanaruhusu. Huyo jamaa kaacha kazi
  8. kilio

    JamiiForums Tanzania Sala au maombi gani ambayo uliwahi kusali yakaleta matokeo tushirikishe

    Baada ya miaka miwili ya ugonjwa wa korona. Niliudhurua mkutano wa Mwalim MWAKASEGE. Nikapata kazi inayoitaji mtu mwenye uzoefu wa miaka 12. Mim nilikuwa chini ya hapo. Sikutuma maombi walinitafuta linkedin wakanipigia simu kutoka nje ya bara la africa wananihitaji. 🙏
  9. kilio

    JamiiForums Tanzania US debt is now $37trn – should we be worried? (Deni la Marekani sasa ni $37trn - Je tunapaswa kuwa na wasiwasi)?

    Nchi ya marekani inadaiwa na matajiri wa marekani. Wakati nchi ya Tanzania inadaiwa ba matajiri wa mareken. Wenye hiyo IMF na World bank ni Mayahudi wa kimarekani. Usipumbazwe na den la Marekan kiini Macho.
  10. kilio

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Watanzania kumfata Sheikh wetu Ponda Issa Ponda kwa kukiunga mkono chama cha ACT wazalendo

    Muslim ni kiumbe mbaguzi baada ya myahudi hapa dunian. Wewe badala ya kusema ni wito wa Tanzania kufuata Sheikh Ponda
  11. kilio

    JamiiForums Tanzania Viongozi Iran wajadili kumuondoa Ayatollah maana amesababishia nchi kisirani

    Lini wamejadili hayo mambo.
  12. kilio

    JamiiForums Tanzania Logoriddim: Naomba Kura Zenu: Shindano la Made in Tanzania Brand

    Piga kura kwanza,Acha kukosoa
  13. kilio

    JamiiForums Tanzania Kwani waislamu ndiyo wenye hatimiliki ya mpira wa Tanzania?

    Mikoa mingi yenye idad kubwa ya waisilam ndiyo inapenda mpira wa tanzania. Mfano Dar,Morogoro,Tanga,. Mkoa wenye wakristo wengi wanaopenda mpira wa tanzania ni mbeya. Data don't lie
  14. kilio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepata mshangazi wa miaka 39 anataka niishi naye kwake umri wangu ni miaka 35

    Hapana ukiwa mbali naye inaleta appetite. Anachokitaka kwako ni faraja. Ndan ya mwez mmoja hiyo hamu ya faraja inaisha, endpo utakubali kukaa naye karibu.
  15. kilio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu hii imekaaje Mbona mimi sielewi? Hebu nisaidieni tafadhali kwa wenye ujuzi

    Kama ni sogea tuishi, hao wote uliotaja hai function.
Back
Top Bottom