Baada ya miaka miwili ya ugonjwa wa korona. Niliudhurua mkutano wa Mwalim MWAKASEGE. Nikapata kazi inayoitaji mtu mwenye uzoefu wa miaka 12. Mim nilikuwa chini ya hapo. Sikutuma maombi walinitafuta linkedin wakanipigia simu kutoka nje ya bara la africa wananihitaji. 🙏
Nchi ya marekani inadaiwa na matajiri wa marekani. Wakati nchi ya Tanzania inadaiwa ba matajiri wa mareken. Wenye hiyo IMF na World bank ni Mayahudi wa kimarekani. Usipumbazwe na den la Marekan kiini Macho.
Mikoa mingi yenye idad kubwa ya waisilam ndiyo inapenda mpira wa tanzania. Mfano Dar,Morogoro,Tanga,. Mkoa wenye wakristo wengi wanaopenda mpira wa tanzania ni mbeya. Data don't lie
Hapana ukiwa mbali naye inaleta appetite. Anachokitaka kwako ni faraja. Ndan ya mwez mmoja hiyo hamu ya faraja inaisha, endpo utakubali kukaa naye karibu.
Wanazini sana . Roho wa Mungu hayupo nao hwana kinga. ya mwili
1 Wakorintho 6:15 Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha!
1 Wakorintho 6:16 Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye...
Mwondoe Mwalim Mwakasege hayupo kwenye hicho unachotaja. Hana mikesha ya ajabu ajabu. Ameanza huduma enzi hizo. Hao wahubiri waliozaliwa 1970 na kuendelea nakubaliana na wewe.
Nimeipenda stori yako.Kwa maelezo ya mwamba hapa. Nimejifunza ndoa ni kuishi maisha yamwanamke... Anavyozidi kupoteza mda ndivyo anapoteza uchumi wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.