Hakuna ata mmoja. Ata kama mwanamke akikupenda na akawa anakupa mshahara wake. Kuna vikao vya kifamilia ukialikwa ukwen utagundua wewe ni useless..... Na watoto wako watakuwa na mapenzi na ukweni si unajua Generation Alpha haitaki shida. Kwenye urahisi ndio wanapopenda.
Huo ni ufala, Moja ya ujinga ambao niliukataa maishani mwangu kuogopa kufukuzwa kazi kwa kudai hak yangu. Hakuna binadamu anayekupenda na kuheshimuu taaluma yako akakuweka miezi minne bila mshahara..
TANESCO ni taasis kubwa. Baada ya 4 years in the Mega Digital Transformation project in TANESCO. Nikagundua kwamba lack of information ndio inasababishwa watanzania kutoajiliwa kwenye miradi wanayopewa wakandarasi wa nje. Hakuna chuo Tanzania kinachofundisha ERP. Kwahiyo tunaendela kusema...
Kazi yetu ni kutoa maarifa. Kujenga daraja.. Mabadiliko hayo nimehusika katika implementation. Nimeona fursa ndani ya mradi. Ila kwa miaka ijayo Taasis za Umma zitaacha kuajiri kwa kutumia vyeti kwasababu hawana mda wa kutrain mtu haendane na mabadiliko kiteknolojia.. Lazima uwe na msingi mzuri...
Sina fani ya umeme, Hila ndiyo sehemu ya hayo mabadiliko kwa miaka 4. Na ndiye aliyekuwa mtanzania pekee kwenye hayo mabadiliko kutoka timu ya contractor na Consultant.. Ujuwe mradi mkubwa kama huo hupo katika nchi yako Code 255, halafu ni mtanzania pekee unaofanyakazi . lazima upate mashaka na...
Sijakuelewa unamaanisha nin? Kazi yangu ni kuuza maarifa niliyofanyiakazi katika hayo mabadiliko. Remember "Innovation starts from the Street". Jifunze hii,Tanzania Revenue Authority (TRA) Kutoka nje ya taasis yao kutafuta mawazo mapya yatakayosaidia kukusanya kodi na kuimarisha mifumo yao, Wao...
Hii in fursa kwako!!! Mwezi wa 11, mwaka 2021, Shirika la Umeme TANESCO liliingia mkataba na kampuni ya INDIA, ili kuanza safari yake ya mageuzi ya teknolojia (Digital Transformation). TANESCO ipo kwenye mIfumo ya kisasa ya Enterprises Resource planning (ERP) na Geographic Information Systems...
Mama anaonekana ajasoma ni genius l amekujibu kama mwandishi wa Project... Ameanza kukuelea problem (Swala la kiuchumi, Umalaya na Maradhi ). Akaja kukuelezea wapi tulipotokea (Tradition and Customs) akamaliza. Wewe na Yeye Solution ikawa hamna. Wewe ukaja na Impact (Wanaume wataoa Malaya)...
HII ishu ya NSSF nashindwa kuelewa, mkataba wangu uliisha mwezi wa 4 2026, nilipoenda ofisini kwao wakaniambia nisubiri nikae miezi mitatu toka siku ya mwisho wa mkataba ndipo nianze process za Claim. Kwahiyo mwishon mwa mwezi wa saba ndipo naanza KWA MAELEKEZO YAO. Nikasikia waziri siku moja...
Mim ni Mtanzania pekee nafanya kazi katika kampuni ya kihindi lakini imetokea nje. Kapuni hii ilishinda tenda ya kutengeneza mfumo katika taasisi ya serikali. Kutokana na changamoto kati ya yeye na taasisi ya serikali, mambo siyo mazuri.
To be honest project inahitaji mtaji mkubwa sana na...
Learn with us, You can't get those skills from master degree or PHD. No one wait for you. Geospatial Tanzania tunaamini Ujuzi ni chanzo cha kujiamini. Kama una ndoto ya kufanyakazi katika mashirika ya uma au tasisis binafsi. Tunawakumbusha mashirika ya uma na taasis binafsi yapo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.