Recent content by kilio

  1. kilio

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Hakuna ata mmoja. Ata kama mwanamke akikupenda na akawa anakupa mshahara wake. Kuna vikao vya kifamilia ukialikwa ukwen utagundua wewe ni useless..... Na watoto wako watakuwa na mapenzi na ukweni si unajua Generation Alpha haitaki shida. Kwenye urahisi ndio wanapopenda.
  2. kilio

    JamiiForums Tanzania KERO Miezi 11 Bila Mshahara Chuo cha Afya Mvumi (MIHS) kilichopo Dodoma, Serikali Iingilie kati

    Huo ni ufala, Moja ya ujinga ambao niliukataa maishani mwangu kuogopa kufukuzwa kazi kwa kudai hak yangu. Hakuna binadamu anayekupenda na kuheshimuu taaluma yako akakuweka miezi minne bila mshahara..
  3. kilio

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program yetu kuweza kufanyakazi TANESCO

    TANESCO ni taasis kubwa. Baada ya 4 years in the Mega Digital Transformation project in TANESCO. Nikagundua kwamba lack of information ndio inasababishwa watanzania kutoajiliwa kwenye miradi wanayopewa wakandarasi wa nje. Hakuna chuo Tanzania kinachofundisha ERP. Kwahiyo tunaendela kusema...
  4. kilio

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program yetu kuweza kufanyakazi TANESCO

    Ni ukosefu wamaarifa, ndio unaosababisha nchi hii isiendelee..
  5. kilio

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program yetu kuweza kufanyakazi TANESCO

    Kazi yetu ni kutoa maarifa. Kujenga daraja.. Mabadiliko hayo nimehusika katika implementation. Nimeona fursa ndani ya mradi. Ila kwa miaka ijayo Taasis za Umma zitaacha kuajiri kwa kutumia vyeti kwasababu hawana mda wa kutrain mtu haendane na mabadiliko kiteknolojia.. Lazima uwe na msingi mzuri...
  6. kilio

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program yetu kuweza kufanyakazi TANESCO

    Sina fani ya umeme, Hila ndiyo sehemu ya hayo mabadiliko kwa miaka 4. Na ndiye aliyekuwa mtanzania pekee kwenye hayo mabadiliko kutoka timu ya contractor na Consultant.. Ujuwe mradi mkubwa kama huo hupo katika nchi yako Code 255, halafu ni mtanzania pekee unaofanyakazi . lazima upate mashaka na...
  7. kilio

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program yetu kuweza kufanyakazi TANESCO

    Sijakuelewa unamaanisha nin? Kazi yangu ni kuuza maarifa niliyofanyiakazi katika hayo mabadiliko. Remember "Innovation starts from the Street". Jifunze hii,Tanzania Revenue Authority (TRA) Kutoka nje ya taasis yao kutafuta mawazo mapya yatakayosaidia kukusanya kodi na kuimarisha mifumo yao, Wao...
  8. kilio

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program yetu kuweza kufanyakazi TANESCO

    Hii in fursa kwako!!! Mwezi wa 11, mwaka 2021, Shirika la Umeme TANESCO liliingia mkataba na kampuni ya INDIA, ili kuanza safari yake ya mageuzi ya teknolojia (Digital Transformation). TANESCO ipo kwenye mIfumo ya kisasa ya Enterprises Resource planning (ERP) na Geographic Information Systems...
  9. kilio

    JamiiForums Tanzania KERO NSSF Morogoro (Ofisi ya Madai mtandaoni) shughulikieni APPROVAL za wateja wenu

    ina vipengele viwili UB 33.3%, NA LUPSUM zote vigezo sawa mwezi moja siyo mitatu?
  10. kilio

    JamiiForums Tanzania Miaka michache ijayo wadogo na watoto wetu wataoa makahaba wastaafu

    Mama anaonekana ajasoma ni genius l amekujibu kama mwandishi wa Project... Ameanza kukuelea problem (Swala la kiuchumi, Umalaya na Maradhi ). Akaja kukuelezea wapi tulipotokea (Tradition and Customs) akamaliza. Wewe na Yeye Solution ikawa hamna. Wewe ukaja na Impact (Wanaume wataoa Malaya)...
  11. kilio

    JamiiForums Tanzania KERO NSSF Morogoro (Ofisi ya Madai mtandaoni) shughulikieni APPROVAL za wateja wenu

    Unemployment Benefit. Ndio kipengele nilichokiona
  12. kilio

    JamiiForums Tanzania KERO NSSF Morogoro (Ofisi ya Madai mtandaoni) shughulikieni APPROVAL za wateja wenu

    HII ishu ya NSSF nashindwa kuelewa, mkataba wangu uliisha mwezi wa 4 2026, nilipoenda ofisini kwao wakaniambia nisubiri nikae miezi mitatu toka siku ya mwisho wa mkataba ndipo nianze process za Claim. Kwahiyo mwishon mwa mwezi wa saba ndipo naanza KWA MAELEKEZO YAO. Nikasikia waziri siku moja...
  13. kilio

    JamiiForums Tanzania KERO Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S COMPANY LTD tunapitia magumu, hakuna likizo. Uniform zetu zimechoka

    Hayo majina ukiyakuta nchi za watu, utapenda siyo Bongo.. unyanyasaji
  14. kilio

    JamiiForums Tanzania Utajuaje mwajiri anapokata PAYE (TAX) anawasilisha TRA?

    Mim ni Mtanzania pekee nafanya kazi katika kampuni ya kihindi lakini imetokea nje. Kapuni hii ilishinda tenda ya kutengeneza mfumo katika taasisi ya serikali. Kutokana na changamoto kati ya yeye na taasisi ya serikali, mambo siyo mazuri. To be honest project inahitaji mtaji mkubwa sana na...
  15. kilio

    JamiiForums Tanzania Kesho yako ipo kwenye kuongeza ujuzi

    Learn with us, You can't get those skills from master degree or PHD. No one wait for you. Geospatial Tanzania tunaamini Ujuzi ni chanzo cha kujiamini. Kama una ndoto ya kufanyakazi katika mashirika ya uma au tasisis binafsi. Tunawakumbusha mashirika ya uma na taasis binafsi yapo kwenye...
Back
Top Bottom