Mim ni Mtanzania pekee nafanya kazi katika kampuni ya kihindi lakini imetokea nje. Kapuni hii ilishinda tenda ya kutengeneza mfumo katika taasisi ya serikali. Kutokana na changamoto kati ya yeye na taasisi ya serikali, mambo siyo mazuri.
To be honest project inahitaji mtaji mkubwa sana na...
Learn with us, You can't get those skills from master degree or PHD. No one wait for you. Geospatial Tanzania tunaamini Ujuzi ni chanzo cha kujiamini. Kama una ndoto ya kufanyakazi katika mashirika ya uma au tasisis binafsi. Tunawakumbusha mashirika ya uma na taasis binafsi yapo kwenye...
Mambo yanayofundishwa chuoni hayatumiki katika maisha ya kawaida, inategemea economy policy ya Tanzania na mahitaji ya nchi yako na nchi yako ime ji position vipi katika global economy. Kwa mfano mim binafsi nilisoma course inaitwa Computer Architecture. Hii course inausisha ufahamu wa n...
Kuna gepu la kutoelewana kati ya watanzania waliopata elimu ya juu na mahitaji yanaayohitajika kutatua changamoto za makampuni/Soko huria. Nimefatilia mahojihano mbali mbali ya watu wakilahumu vijana wamemaliza vyuo ila hakuna kazi. Nimefatilia mahojihano ya CEO wa NMB na chombo kimoja cha...
Baada ya miaka miwili ya ugonjwa wa korona. Niliudhurua mkutano wa Mwalim MWAKASEGE. Nikapata kazi inayoitaji mtu mwenye uzoefu wa miaka 12. Mim nilikuwa chini ya hapo. Sikutuma maombi walinitafuta linkedin wakanipigia simu kutoka nje ya bara la africa wananihitaji. 🙏
Nchi ya marekani inadaiwa na matajiri wa marekani. Wakati nchi ya Tanzania inadaiwa ba matajiri wa mareken. Wenye hiyo IMF na World bank ni Mayahudi wa kimarekani. Usipumbazwe na den la Marekan kiini Macho.
Mikoa mingi yenye idad kubwa ya waisilam ndiyo inapenda mpira wa tanzania. Mfano Dar,Morogoro,Tanga,. Mkoa wenye wakristo wengi wanaopenda mpira wa tanzania ni mbeya. Data don't lie
Hapana ukiwa mbali naye inaleta appetite. Anachokitaka kwako ni faraja. Ndan ya mwez mmoja hiyo hamu ya faraja inaisha, endpo utakubali kukaa naye karibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.