Recent content by kilio

  1. kilio

    Yaani miezi 10 naiona mingi hapa nyumbani kwa wazazi, mnanishaurije?

    Huna akili timamu. .Hiyo nyumba ni ya million 2 mpaka ukitoa hela ya kod unaharibu bajet
  2. kilio

    KERO Tufanyeje kupata haki yetu kutoka NSSF?

    hapana, mkataba ukiisha wa kazi. Wanaruhusu. Huyo jamaa kaacha kazi
  3. kilio

    Sala au maombi gani ambayo uliwahi kusali yakaleta matokeo tushirikishe

    Baada ya miaka miwili ya ugonjwa wa korona. Niliudhurua mkutano wa Mwalim MWAKASEGE. Nikapata kazi inayoitaji mtu mwenye uzoefu wa miaka 12. Mim nilikuwa chini ya hapo. Sikutuma maombi walinitafuta linkedin wakanipigia simu kutoka nje ya bara la africa wananihitaji. 🙏
  4. kilio

    US debt is now $37trn – should we be worried? (Deni la Marekani sasa ni $37trn - Je tunapaswa kuwa na wasiwasi)?

    Nchi ya marekani inadaiwa na matajiri wa marekani. Wakati nchi ya Tanzania inadaiwa ba matajiri wa mareken. Wenye hiyo IMF na World bank ni Mayahudi wa kimarekani. Usipumbazwe na den la Marekan kiini Macho.
  5. kilio

    Wito kwa Watanzania kumfata Sheikh wetu Ponda Issa Ponda kwa kukiunga mkono chama cha ACT wazalendo

    Muslim ni kiumbe mbaguzi baada ya myahudi hapa dunian. Wewe badala ya kusema ni wito wa Tanzania kufuata Sheikh Ponda
  6. kilio

    Logoriddim: Naomba Kura Zenu: Shindano la Made in Tanzania Brand

    Piga kura kwanza,Acha kukosoa
  7. kilio

    Kwani waislamu ndiyo wenye hatimiliki ya mpira wa Tanzania?

    Mikoa mingi yenye idad kubwa ya waisilam ndiyo inapenda mpira wa tanzania. Mfano Dar,Morogoro,Tanga,. Mkoa wenye wakristo wengi wanaopenda mpira wa tanzania ni mbeya. Data don't lie
  8. kilio

    Nimepata mshangazi wa miaka 39 anataka niishi naye kwake umri wangu ni miaka 35

    Hapana ukiwa mbali naye inaleta appetite. Anachokitaka kwako ni faraja. Ndan ya mwez mmoja hiyo hamu ya faraja inaisha, endpo utakubali kukaa naye karibu.
  9. kilio

    Wakuu hii imekaaje Mbona mimi sielewi? Hebu nisaidieni tafadhali kwa wenye ujuzi

    Kama ni sogea tuishi, hao wote uliotaja hai function.
  10. kilio

    Mbona vifo vimeongezeka

    Wanazini sana . Roho wa Mungu hayupo nao hwana kinga. ya mwili 1 Wakorintho 6:15 Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha! 1 Wakorintho 6:16 Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye...
  11. kilio

    Kabla hujaamua kumuoa muulize kwanza ana msimamo gani kuhusu Mwamposa, Tony, Kuhani Musa, Mwakasege na Geor Davie

    Mwondoe Mwalim Mwakasege hayupo kwenye hicho unachotaja. Hana mikesha ya ajabu ajabu. Ameanza huduma enzi hizo. Hao wahubiri waliozaliwa 1970 na kuendelea nakubaliana na wewe.
  12. kilio

    Kijana wa form six kamaliza leo

    Uwinga anauweza huyo?
  13. kilio

    Muhammad sio mzao wa Ishamael

    Huu mkeka ulioandika shit of pit ungetumia mda wako kupmbana na changamoto za nchi yako
  14. kilio

    Alikuwa vizuri mwanzo lakini baada ya kumuweka ndani rangi zote nimeshaona

    Nimeipenda stori yako.Kwa maelezo ya mwamba hapa. Nimejifunza ndoa ni kuishi maisha yamwanamke... Anavyozidi kupoteza mda ndivyo anapoteza uchumi wake.
Back
Top Bottom