Wana janvi nawashukuru sana kwa ushauri wenu ntaufanyia kazi maama mawazo yenu yamekua muhimu sana kwangu.
Kama kuna ushauri wa ziada nko teyali kuupokea mda wowote kupitia thread hii.
Ndundu wana Jamvi naombeni ushauri na busara zenu kuhusu mchumba wangu.
Kwa mara ya kwanza tulifahamiana tulipokutana kazini kisha tukawa marafiki na kuendeleza urafiki kwa miaka kadhaa.
Wote tunapendana na wote tumefanikiwa kupata kazi ila yeye kipato chake kiko juu kuzidi mimi na pia...
Baada ya kupata ushindi wa Kishindo katika jimbo la Serengeti yaani Ushindi wa Mbunge Mw. Marwa Ryoba na Madiwani 18 kati ya 30 watakao wawezesha kuunda Halmashauri kwa kupata Mwenyekiti kiti wa Halmashauri kutoka Chadema tangu Uhuru.
Nashauri wawe makini katika Uchaguzi wa Mwenyekiti na...
Jamani nakiomba sana chama changu cha Mapinduzi, haswa ngazi ya Mkoa wa Mara, watuongezee nguvu jimbo la Serengeti maana hawa Ukawa wanatusumbua sumbua ila naimani tutashinda, haswa kama tutapata support ya kutosha kutoka makao makuu naimani mpo humu na ujumbe utafika.
Serengeti ni ya CCM na...
Amani ya mama Tanzania iko mikononi ya sisi Watanzania haswa sisi vijana tulio na nguvu za kutosha maana kesho inatuhusu sana.
Natoa rai kwa kila Mtanzania kutimiza wajibu wake wa kulinda amani ya Nchi hii kuanzia viongozi wa vyama vya siasa, Taasisi za Dini, Asasi za Kiraia, Tume ya Uchaguzi...
Amani ya mama Tanzania iko mikononi ya sisi Watanzania haswa sisi vijana tulio na nguvu za kutosha maana kesho inatuhusu sana.
Natoa rai kwa kila Mtanzania kutimiza wajibu wake wa kulinda amani ya Nchi hii kuanzia viongozi wa vyama vya siasa, Taasisi za Dini, Asasi za Kiraia, Tume ya Uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.