Ushauri wa ndoa ndoano

Ushauri wa ndoa ndoano

Kaka we unachotakiwa kuangalia hapo sio swala la kipato wala umri. Angalia yafuatayo; je unampenda na yeye anakupenda kutoka moyoni? mnaheshimiana kwa mambo muhimu na ya msingi? mnaweza kuishi pamoja?
Kama hayo yanawezekana anakufaa mkuu age and money sometimes dont matter
 
NAOMBENI BUSARA NA USHAURI WENU KAMA INAFAA MIMI KUWA MME WAKE...
NAomba kuwasilisha,
Kilio cha Miti

Okay hebu labda tubrainstorm kidogo
a) UMRI- unachoogopa hapa ni nini? Kama ni muonekano tayari anaonekana si mkubwa zaidi yako na unaweza oa binti mbichi kabisa 18 years. Baada ya muda na uzazi na lack of matunzo na mazoezi na stress akaonekana mbibi kabisa. Kama si muonekano basi forgive me sijaona jipya zaidi ya numbe kubwa kwene kibox cha umri. Na wala si kigezo cha kuangalia. maturity ndo huangaliwa. Na mdogo wako anaweza kuwa matured zaidi yako.

b) KIPATO- dude? unless u plan to earn exactly the same amount for the rest of ur life then that's a lame excuse.
 
Wana janvi nawashukuru sana kwa ushauri wenu ntaufanyia kazi maama mawazo yenu yamekua muhimu sana kwangu.
Kama kuna ushauri wa ziada nko teyali kuupokea mda wowote kupitia thread hii.
 
Back
Top Bottom