TATIZO NI KUTOJUWA NINI KAZI YA SPIKA NI NINI? kiukweli ndugai ndiye aliyechemsha NA YEYE NDIYE ALISABABISHA FUJO ZITOKEE BUNGENI, Spika amegeuza bunge kuwa kikao cha kutetea mapungufu ya chama na sio mahali pakuwajibisha chama na serikari yake, Kukosekana kwa uzalendo wa speka ndio maana haya...
Jamanai tusimlaumu mheshimiwa kwanza naye analinda mslahi yako pili uhuru wa mawazo na tatu ndio uwezo wake
kufikiri ndio huo so let us go toogether sisters and brothers
:llama::flame::msela: Ccm kiukweli inechoka ni wabishi sana hata kama wanauona ukweli lazima wapindisha, Kwa sekeseke la bungeni kuhusu mswada ulitakiwa kujadiliwa hakukuwa na sababu yakuepingana mapaka mapigano kwani jambo liko wazi kuwa wanzaibari hawajashirikishwa. na huo ndio mwanzo wa machafuko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.