Recent content by Kilian-A

  1. K

    Bomoa bomoa yaja waliovamia kiwanda cha cement

    Kwamba unapewa eneo alafu utalipia baadae au walivamia alafu wakapewa upendeleo wa kulipia ili yawe yao
  2. K

    DRC: Mshahara wa Wabunge wadaiwa kufikia zaidi ya Tsh. Milioni 48 kwa Mwezi

    hii ndo Africa, mtu anaingia kwenye siasa kwasababu ya uchungu wa pesa na sio uchungu wa nchi yake.
  3. K

    Huyu ndiyo Rais wa watu, yupo huru nchini mwake

    kwetu mbunge tu kumuona mtaani hivyo ujue uchaguzi umekaribia
  4. K

    Doreen Mrema afunguka mazito!

    Kama ni mali anataka ni bora atulie tu asee, yani hata mwaka hajamaliza naye alafu alalamike
  5. K

    Freeman Mbowe anatutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga?

    Mjinga anapokataa kuitwa mjinga kwa kuutetea ujinga anakua mpumbavu pro max
Back
Top Bottom