Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Rais Samia tuliokupenda tulikuambia ukweli kuwa njia uliyoanza nayo haikuwa sahihi ulianza kabisa kwa kutoboa matundu ya kukusanyia pesa ili hali ukijua kuwa kuwalegezea matajiri lazima masikini ateseke.
Mimi nilitumia principle ya physics inaitwa principle of conservation of energy which states that energy can neither be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another form.
Nilimaanisha kuwa huwa haupo muujiza wa kuendesha nchi salama endapo usipokusanya hela zetu kwa weledi kutoka kwa wateja wetu na mawakala wetu wanaoitwa matajiri. Matajiri hela za kodi huwa sio zao huwa ni za wateja ambao ni watanzania. Sasa hawa matajiri ni ma agent walioaminiwa na serikali kutunza hela za serikali.
Sasa ulivuruga ulipojaribu kushauriwaa vibaya na wabaya wa Magufuli, ambao wengi wao walikuwa na wewe pamoja na ni chama kimoja sasa wataanza kukuruka mmoja mmoja.
Rais Samia usipuuze kilio cha wananchi, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema chama chochote cha siasa kikipuuza maoni ya wananchi kitalia kilio ambacho hatakuwepo wa kuja kukifuta machozi nacho ni kilio cha maputo.
Mimi nilitumia principle ya physics inaitwa principle of conservation of energy which states that energy can neither be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another form.
Nilimaanisha kuwa huwa haupo muujiza wa kuendesha nchi salama endapo usipokusanya hela zetu kwa weledi kutoka kwa wateja wetu na mawakala wetu wanaoitwa matajiri. Matajiri hela za kodi huwa sio zao huwa ni za wateja ambao ni watanzania. Sasa hawa matajiri ni ma agent walioaminiwa na serikali kutunza hela za serikali.
Sasa ulivuruga ulipojaribu kushauriwaa vibaya na wabaya wa Magufuli, ambao wengi wao walikuwa na wewe pamoja na ni chama kimoja sasa wataanza kukuruka mmoja mmoja.
Rais Samia usipuuze kilio cha wananchi, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema chama chochote cha siasa kikipuuza maoni ya wananchi kitalia kilio ambacho hatakuwepo wa kuja kukifuta machozi nacho ni kilio cha maputo.