Anaandika Emmanuel Masonga (Katibu wa CHADEMA kanda ya Kati)
Baada ya Mdude_Nyagali Kutoa taarifa za Kufuatiliwa akiwa na wakili kwa takribani lisaa sasa wote wawili hawapatikani kwenye simu zao na Haijulikani walipo.
Tumefanya mawasiliano na Watu wa ARUSHA waliokuwa nao Mahakamani kucheki...
Mimi Nina Bajaji RE 250 Nimeinunua Mwezi Wa 3 ipo Arusha, Kazi Zangu Nyingi Zinanifanya Nisiwepo Arusha Hivyo Usimamizi Unakua Mdogo Na Madereva Wakishajua Haupo Wansumbua kutoa Hesabu Ya Day
Hivyo Nahitaji Dereva Anayetaka Bajaji Ya Mkataba
1) Awe Na Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
2)...
Hivi wakuu nyie mna Kazi kweli? Maana matangazo yenu Ni 5 years 10 years experience mtu mwenye 10 years experience huku jamii forums anashinda kutafuta Kazi kweli? Ndio maana Watu wanawaita matapeli
Kesho 28/8/2015 Mh Lowasa atakutana na machinga, Bodaboda na mama lishe na wafanyabiashara wote wa Kariakoo, Ukumbi
wa Msimbazi Centre Jiji Dar,
fika bila kukosa.
===========================
Updates: 28/08/2015
kamanda HUSNA NI MWENYEKITI WA BAWACHA MKOA Wa GEITA
INASADIKIKA KUWA ALITEKWA Juzi AKIWA
ATATOKEA KATIKA HARAKATI HUKO JIMBONI
NYANG`WALE KURUDI GEITA MJINI
NA INASEMEKANA KABLA YA SIM YAKE
KUZIMWA( KUZIMIKA) ALIMPIGIA MOJA YA
VIONGOZI WEZAKE WA MKOA
NA AKASIKIKA AKILIA KWA KUTAJA...
Mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na m/kiti BAVICHA Taifa, ndugu Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na kunyang'anywa fomu zake za ubunge.
Nimezungumza na mwenezi wa jimbo hilo na kuthibitisha hilo lakini pia simu ya mgombea haipatikani.
Nimeongea pia na Mbunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.