Watu wengi niwapiga kelele tu lakini vichwani hamza kitu,inamaana hata kukumbuka uchaguzi wa 2020 hamkumbuki! Niwakumbushe tu serikali ilikataa kuchukuwa hela kutoka kwa wahisani kwaajili yauchagu
Ukiwa na mtizamo wa upande mmoja huwezi Pata jibu,ila ukitaka kutafuta jibu halisi utalipata.maana iko wazi hiyo miaka unayosema hao hammas hawakuwa hata na uwezo wakuua mwanajeshi mmoja wa Israel,lakini sasahivi waulize waesrael wakupe takwimu za vifo kutoka 7/10/2023 hadi leo.kwahiyo utaona...
Naunga mkono hoja. Kukaa hospitali masaa mengi ni uzembe tu wa madaktari na wauguzi,nenda pale hospitali kuu ya iringa homa ya kawaida tu! Lakini utamaliza siku nnzima pale
Mke huna,mtoto wa miaka 8 akitumwa kuchelewa ni kawaida,umli huo Kila sehemu anayopita yeye ni lazina acheze kwanza ndio aendelee na safari aliyotumwa.na huyo mkeo siku akimtuma mtoto alafu akapoteza hela aliyompa kuendea labda dukani fahamu huyo mke atauwa mtoto.ushauri wangu tafuta mke hapo...
Wewe mleda mada na wanaokuunga mkono ni wazi mnachuki na waarabu na si vinginevyo,uwekezaji ktk madini wametawala wazungu lakini ktk mifano yako umeishia kulalamikia sehemu walizowekeza waarabu tu na kusema waneuziwa.acha chuki binafsi kwanza nawe utaupenda tu mpira hasa huu wa Tanzania unaokuwa...
Watanzania wengi maneno maneno tu na kujifanya wajuaji na kejeri hata katika mambo ya msingi wao hawazingatii,ila wao wanaangalia kachaguliwa Nani ktk uteuzi huo nazaidi hawaangalii uwezo wa aliechaguliwa,bali wanaangalia wadini gani au waupande gani.ktk hii tume ilikuwa ni swala lamuda...
Vitengo karibu vyote jeshini ni vigumu,ila ukommando inawezekana ukaiona ni ngumu zaidi,sababu nikitengo kinachohusisha mapambano ya mwili zaidi kuliko silaha.iko hivi inapotokea kuna vita alafu kuna sehemu inawasumbua zaidi yaani inawashambulia sana basi ufumbuzi ndio wanatumika asikari wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.