Pengine huyo mama alikuwa na shida/changamoto ya kiafya Kwa siku hiyo...
Me Kuna siku nmeenda nae, akapata changamoto fulani, ikabid nimwache parking nikaenda kufanya manunuzi yote... Kwa mtu ambae hajui anaweza Lete story kama hvyo
Wanandoa wengi wanakuwa na matarajio makubwa sana kwenye ndoa mfano fedha, mazingira ya nyumbani, furaha, kupata mapenzi mda wote etc etc.....
Mambo yanapokuwa tofauti na matarajio ndio Ile furaha na mbwembwe nyingine huanza kupotea
Kuna kitabu kizuri sana natamani ukisome Mkuu na wengine wakisome pia...atakayeweza kushare akiweke tafadhali
Things I wish I'd known before we get Marriage by Gary Chapman
Mapishi ya merahisishwa sana saa hv..
Vifaa vingi vya kupikia vinapatikana Kila mahali, rice cooker, pressure cooker etc anafuata tu maelekezo chakula tayari..
Pia Kuna Kila aina ya mapishi YouTube, akiwa na Nia ya kujifunza hamna kinachoshindikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.