Simuelewi huyu Demu

Simuelewi huyu Demu

kuna jamaa ake anaempendaa nae jamaa anamzingua hivyo hivyo so demu anakuwa haelewekii...mvumilie si ndo huyo huyo unae pole
 
Tambua thamani yako yakuwa wew n mtu muhimu sana, kuwa naye n kuendlea kupoteza thamani yako. Mwanamke akupendaye kwa dhati #Hawezi kuwa busY, trust me. Kuachana nae n kujiheshimu na kutambua thamani yako.

"Penda kuomba ushauri kwenye mambo magum kias kwamba hata mshauri ashindwe kujua anaanzia wap na sio kwenye jambo kama hili"

Any way unafanya kaz??
Umechangia vizuri sana ..ila aya yako ya pili toka mwisho kabla ya swali la unakazi ?

Tambua unalo liona kwako rahisi basi kuna mwingine kwake ni gumu na vise versa sp usidharau anayekuomba ishauri
 
Umechangia vizuri sana ..ila aya yako ya pili toka mwisho kabla ya swali la unakazi ?

Tambua unalo liona kwako rahisi basi kuna mwingine kwake ni gumu na vise versa sp usidharau anayekuomba ishauri
Well... Ila kama umeosoma vzr huo uzi, ndipo utakapo gundua yakuwa bwana mdogo hyupo seriously. Trust me!
 
Akirudi tena na wewe kuwa busy....
Ila jitahid umjue vizuri kazi yake, mazingira yake etc
 
kuna jamaa ake anaempendaa nae jamaa anamzingua hivyo hivyo so demu anakuwa haelewekii...mvumilie si ndo huyo huyo unae pole
Mpe link ya ule uzi wako wa kula tunda kimasihara I guess utamsaidia kwa kiasi flani hivi
 
Back
Top Bottom