Ninajikuta namchukia mke wangu

Ninajikuta namchukia mke wangu

Huyu ni kama wenzie wengi anaoa ili apate mtu wa kumpikia na kumfulia nguo.
Na ile fashion kwamba wenzangu wa umri wangu wote wameshaoa.

Sio rahisi ukaoa/ukaolewa na mtu unayempenda halafu baada ya miaka miwili ukamchukia completely.
Pamoja na kero nyingi za wenza wetu lakini penzi kufa kabisa sio rahisi kwa muda mfupi hivyo.

Huyu karogwa na mchepuko, au ushamba wake tu hajui kuhandle michepuko anazama mzima mzima bila kufikiria madhara yake.

Mwambie sasa achukue huyo mchepuko awe mke wake utaona anarudi baada ya miaka miwili atakwambia afadhali ya mke wake aliyemwacha na anataka kumrudia.

Mapenzi haya nyoko sana.
Asante mkuu
 
Uache upumbavu, at some stage kila ndoa upendo unaisha, unachagua penda mke sababu:

1. Una watoto.
2. Mmeshaishi pamoja.
3. Hutaki kuhangaika.

Asikudanganye mfu, kuna wakati kila ndoa upendo unaisha kabisa, lakini unachagua kumpenda bil sababu kwa ajili ya mazingira.

Nenda basi kaishi na hao unaoona wanafaa, ukiisha endelea kutafuta wengine....
So muafaka mzuri uko wapi hapo
 
Unataka kutuambia hayo yote hukuyagundua ndani ya miaka miwili? Tumeskia upande mmoja, vipi kuhusu wewe ni mkamilifu asilimia zote? Na je ushawahi kukaa nae na kumueleza hayo uliyoyaandika hapa? Mna mtoto tayari jitahidi muyamalize mlee mtoto wenu wote wawili.
 
Unataka kutuambia hayo yote hukuyagundua ndani ya miaka miwili? Tumeskia upande mmoja, vipi kuhusu wewe ni mkamilifu asilimia zote? Na je ushawahi kukaa nae na kumueleza hayo uliyoyaandika hapa? Mna mtoto tayari jitahidi muyamalize mlee mtoto wenu wote wawili.
Hakuweza kunionyesha upande wa mwanzo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom