Nataka kuwa mzee wa mjini yaani....nahakikisha uzeeni nakuwa na mishe mishe kama Koffi Olomide ila cha msingi niwe na hela tu za kutimiza mahitaji yangu sio kuomba omba ndugu.
Tulipata taarifa kuwa alikamatwa sehemu tu na polisi na akaenda kuuwawa ...wanasema polisi huwa wanafanya hivi pale unapokuwa mhalifu sugu ingawa wanakosa ushahidi wa kukupeleka mahakamani.
Tuliwahi kuishi na jamaa mitaa ya Mwananyamala Komakoma miaka ya 2000's.Jamaa alikuwa mpole sana kumbe jambazi mkubwa sana na alikuja kuuawa baada ya kukamatwa na polisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.