Binafsi sio muumini wa chama chochote cha siasa nchini ila kwa jinsi nionavyo bado ccm ina nguvu za kutosha tu kuongoza nchi hii kwa miaka mingi ijayo hii inatokana na vyama vya upinzani kuwa na viongozi wenye ubinafsi na uchu wa madaraka ambao unaonekana dhahiri,labda tukumbushane sifa za...
Labda watu hawafahamu nini maana ya msanii wa muziki ila kiukweli wema alishatembea na mr blue,tid,kanumba na hao wote walikuwa mastaa kabla je wema aliwapandisha kivipi?unajua binafsi nachukia kukuta mtanzania anashindwa kufikiri vizuri,kiukweli tukiacha ubishi jamaa ni miongoni mwa wanamuziki...
sasa kaka hivi watu 64000 elfu mlioomba muitwe wote kweli,watanzania acheni lawama za kijinga,givi ungechaguliwa wewe na wenzio wangelalamika hivyo hivyo omba sehemu nyingine utapata elimu haiozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.