Recent content by KIKUMI

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mifugo

    Utalaam wa ufugaji wa nini Mkuu??
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nimetumia Dawa zote nilizopewa Kuku wangu wa Layers bado wanamafua makali

    Habari wana Jamii, Kwa kifupi nimeanza kufuga Kuku wa Mayai (Layers) ni mgeni kabisa katika suala la ufugaji kuku wangu kwa sasa wana wiki 10 ila kuna Kuku kama 20 kati ya 300 wanatoa machozi hatari, watalaam wanasema ni mafua nimetumia dawa zoote nazopewa na wataalam hakuna chochote. Kwa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Bibi aangua kilio

    soma kwanza maelezo sio kukurupuka tu kuongea kakuambia amemfananisha sio yeye mhusika halisi aliemuona kwenye Runinga.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Wazazi,ndugu hawamtaki,na yeye hataki kuelewa,ushauri wako unahitajika sana hapa!!

    nimesahu kuuliza wazazi wako walichaguliana au walipendana hilo ni la msingi kuwauliza. kama baba alitafutiwa mzigo ujue mmekwishneeeeeeeeee lol jamani bado kuna mambo ya kijinga namna hii kwenye hii dunia unauliza eti kabila?.... halafu haujasema we kabila gani ningekusaidia kidogo
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wazazi,ndugu hawamtaki,na yeye hataki kuelewa,ushauri wako unahitajika sana hapa!!

    ha ha ha ha ha kwanza kabisa wewe unasema umeona wanaume walioa wachaga ndoa zao hazikukaa vyema ulichunguza tatizo ni nini hapo? au ulikurupuka tu? kwanza uelewe ukioa mchaga hutakiwi uwe lege lege ni maendeleo mtindo mmoja na pia hakuna habari za kimajungu majungu kama hilo kabila lako pia...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ivi dar live(mbagala) ni ya nan?

    mbona mnabishana kwenye vitu ambavyo havina msingi? kinondoni mara mbagala sasa mlikuwa mnataka watu wasiinvest huko? na kwanza utawezaje kupasifia sehemu ambayo hata wewe haikusaidii zaidi ya kwenda kupunguza income yako na kushindwa kujenga na kuendelea kukaa kwa shemeji mwanaume aliemuoa dada...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupigwa na miayo mara kwa mara

    Hey doctors na wanajamii mi ni mwanafunzi wa chuo nasomea mba ila tatizo langu kila nikiwa darasani au najisomea natokwa na miayo sana tatizo ni nini? Ila nikiwa katika sehemu nyingine hata kama ni usiku vipi hili tatizo halijitokezi ila ikiwa kwenye masomo tu ni tatizo please naomba msaada...
Back
Top Bottom