Tatizo la kupigwa na miayo mara kwa mara

KIKUMI

Member
Jan 19, 2012
7
2
Hey doctors na wanajamii mi ni mwanafunzi wa chuo nasomea mba ila tatizo langu kila nikiwa darasani au najisomea natokwa na miayo sana tatizo ni nini? Ila nikiwa katika sehemu nyingine hata kama ni usiku vipi hili tatizo halijitokezi ila ikiwa kwenye masomo tu ni tatizo please naomba msaada wenu
asanteni sana
 
Yawezekana huwa una njaa au una usingizi sana muda wa darasani.
Je huwa unalala masaa ya kutosheleza kilasiku???

Ushauri:
1.Lala angalau masaa sita na zaidi kilasiku.
2.Kunywa maji ya kutosha.
3.Fanya mazoezi
 
bibi wa bibi yangu aliniambia
1. uchovu
2. usingizi
3. ukosefu wa oksijeni
4.uvivu
 
mm siyo dokta bt tatizo wa ukosefu wa oksijen nakubaliana nalo kwa kiasi chake hata mm ninatatizo kama hilo.huwa inatokea muda wowote na mahali popote.
 
Hey doctors na wanajamii mi ni mwanafunzi wa chuo nasomea mba ila tatizo langu kila nikiwa darasani au najisomea natokwa na miayo sana tatizo ni nini? Ila nikiwa katika sehemu nyingine hata kama ni usiku vipi hili tatizo halijitokezi ila ikiwa kwenye masomo tu ni tatizo please naomba msaada wenu
asanteni sana

Unatokwa na mihayo au unapiga mihayo?
 
attachment.php
 
tatizo lako kuu ni kupungukiwa na oksijeni mara tu ukianza kumsikiliza mwalimu darasani katika masomo yakop hayo ya BA .Basi suluhu ni kutembea na kimtungi cha oksijeni(kama vile wanavojazia kesi kwenye AC za magari pale lumumba) ..ukianza tu kutokwa na miayo(hii kutokwa na miayo ni wewe umesema lakini japo ni kupiga miayo) chukua vimirija vya oksijeni weka puani endelea kupata lekcha
 
tatizo lako kuu ni kupungukiwa na oksijeni mara tu ukianza kumsikiliza mwalimu darasani katika masomo yakop hayo ya BA .Basi suluhu ni kutembea na kimtungi cha oksijeni(kama vile wanavojazia kesi kwenye AC za magari pale lumumba) ..ukianza tu kutokwa na miayo(hii kutokwa na miayo ni wewe umesema lakini japo ni kupiga miayo) chukua vimirija vya oksijeni weka puani endelea kupata lekcha

duh!ushauri mwingne kwa kweli.
 
Asee mimi pia napiga mihayo balaa afu mara nyingi nikiwa kazini mida kama hii, hapo nimeshiba na maji nimepiga ya kutosha sasa tatizo ni nini.
 
Hey doctors na wanajamii mi ni mwanafunzi wa chuo nasomea mba ila tatizo langu kila nikiwa darasani au najisomea natokwa na miayo sana tatizo ni nini? Ila nikiwa katika sehemu nyingine hata kama ni usiku vipi hili tatizo halijitokezi ila ikiwa kwenye masomo tu ni tatizo please naomba msaada wenu
asanteni sana
Vp ulifanikiwa kumaliza Degree yako?
 
Back
Top Bottom