Recent content by Kikuburu

  1. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    Mwenyewe yuko kwenye kusali usiku akiamini mpenzi wake anapata majaribu ya shetani ataenda kwa mwanamke asiyemthamini! Eti najua hasira zikimuisha atatafakar na kujua kosa lake loooo mahaba niue hiio
  2. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    Mwanaume alimwambia kushika simu yangu kumpigia mtu na kutext inamaanisha mimi ndo nimetuma na umemtishia maisha ni kosa kisheria! Ni hatar hata kwa maisha yangu hahaaaah sijui anadate na mwanasheria
  3. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    Kwanza mi nilifikiri anamtania ila jamaa kakaza hapokei simu dada wawatu hajji ndo ntolee hivyo
  4. K

    Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

    Dini ya kiislam hapo imeingiaje? Badala ya kujadili hoja unaleta vilivyomo kichwani mwako!! Labda una nyepesi aliyeua ni muislam
  5. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    Mwenzio anakuambia ngoja hasira ziishe nimuombe msamaha maana sahivi kachukia ndo maana hajibu sms. Watu wana mioyo
  6. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  7. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    Na huyo mpenzi wake yuko sawa kuachwa kwa sababu yakukuta chats za cheating akatake action??
  8. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ukamuongezee maumivu eeehhh
  9. K

    Kuwa na wapenzi wawili ni sawa?

    Dunia haiishi visa, Week iliyopita ni dada mmoja yalimkuta, Ana mpenzi wake waliahidiana mengi ikiwemo kuoana. Dada anafanya kazi na mkaka japo ni 35 ukaka unakaribia kuisha anajiendeleza kimasomo. Dada huyo anadai kila wakikaa pamoja na mpenzi wake kuna simu inaingia lakini mkaka hapokei...
  10. K

    Ushauri wa haraka! Nakunywa pombe sana, nina msongo wa mawazo

    Pombe haijawahi kuniletea matagizo na mtu
  11. K

    Ushauri wa haraka! Nakunywa pombe sana, nina msongo wa mawazo

    Baba yangu ni mpole nampongeza kwakuwa pamoja na mambo ya mama na mashoga zake alikuwa ananigomneza tu ila ada analipa hakuwahi kunionyesha kutonipenda.
  12. K

    Ushauri wa haraka! Nakunywa pombe sana, nina msongo wa mawazo

    Maisha haya hayana mwenyewe, Nilikuwa mtu mwenye kujiheshimu sana, kuwashauri watu juu ya matendo mema, niliishi nakujitahidi kuwa mfano wa kuigwa lakini sasa mambo yamegeuka. Tangu utoto na ujana umenifikia sijawahi kuwaza na kunywa pombe ila sasa nakunywa tena kunywa kweli usiku hadi nilewe...
  13. K

    Tetesi: Shirikisho la vyuo elimu ya juu Kilimanjaro utata mtupu, wagushi nyaraka kugombea

    Heri ya x mass wote. Habari za mtifuano ndani ya shirikisho la vyuo vya elimu ya juu mkoani kilimanjaro (CCM) za vuja, Kama mnakumbuka katibu mkuu wa shirikisho(ccm) DANIEL ZENDA akiongozana na hamasa taifa,Kaimu mwenyekiti taifa alifanya ziara ya kikazi mkoani hapo na blog moja iliripot ziara...
  14. K

    Kila nikikatiza facebook lazima nione post yako, halafu eti unataka ndoa

    ushasema matusi! hiyo tabia sio! hao kina mange, wema n.k ambao hawafai kufuatiliwa na watu wenye akili timamu mwanaume umewa follow halafu kila post unasoma comment by comment uchambue tusi na lisilo tusi bado ujione uko sawa nawewe utakuwa mbeya zaidi ya huyo alopost. utakuta mtu naye...
Back
Top Bottom