Ushauri wa haraka! Nakunywa pombe sana, nina msongo wa mawazo

Kikuburu

Member
Jul 8, 2016
43
30
Maisha haya hayana mwenyewe,

Nilikuwa mtu mwenye kujiheshimu sana, kuwashauri watu juu ya matendo mema, niliishi nakujitahidi kuwa mfano wa kuigwa lakini sasa mambo yamegeuka.

Tangu utoto na ujana umenifikia sijawahi kuwaza na kunywa pombe ila sasa nakunywa tena kunywa kweli usiku hadi nilewe ndo nilale! sometimes naenda kwenye kuwasilisha ripoti za kazi kwenye kadamnasi maboss wakiwepo ila nakunywa ili nisipate mawazo katikati ya kazi(kama kitwanga alivyofanya)

Nisipokunywa nakuwa very aggressive kwa watu akinikosea kidogo nitampandishia hadi jioni nikirudi mwenyewe naona aibu machozi yananitoka Nimekuwa mtu wa ajabu sivyo nilivyokuwa zamani natamani siku zirudi nyuma kichwa kinaniumaaa!

Katika kukua kwangu wazazi wangu walinichukia sana hasa mama! nilisoma kwa shida hawakuwahi kunipa moyo! kila nililofanya ni baya natukanwa na naambiwa lazima ntafeli! shuleni nafanya vizuri najitahidi kufanya kazi kwa bidii nyumbani ili mama anipende ila wapii! mama yangu mkubwa& shangazi ndio walinipa moyo sana wakiniambia ni majaribu nitashinda! nilimaliza kidato cha sita bado bikra ila mama akishirikiana na mashoga zake wananiita malaya nilikuwa naumia niliahidi kutorudi nyumbani baada ya kupangiwa form five, ila imani ya dini iliniingia nikawasamehe nakuwapenda tena sana.

Sikuwahi kujivunia upendo wa wazazi japo ndugu na majirani walinipenda nankunisaidia sana mawazo n.k baadae nikaja kujua ni rafiki wa mama yangu alikuwa anamjaza umbea mama ili nisisonge mbele!

Nikiwa chuo mwaka wa tatu nikaona si vyema nikawa na mpenzi! hapa kidonda cha mfadhaiko wa kukosa upendo nyumbani kilitoneshwa, tulikuwa wapenzi bila kufanya chochote tukamaliza chuo ile nimepangiwa kazi tukawa wilaya moja hapo sasa pombe ikatiwa maji tumeweka mipango ya kuoana bado miezi 2 tukavunja amri ya 6 na mimba juu kwakweli huu msumari wa moto nilijichoma,

Bwana yule alikuwa na wanawake 3 kawazalisha (bado anakumbushia kwa 2) kawaahidi kuwaoa, sijakaa vizuri mara ananiambia tukanunue uganga akomeshe watu wanaomloga kidogo nizimie! hapo movie ilinoga na tukaachana nimebaki na mtoto wangu ila najikuta nna msongo wa mawazo wa tangu niko primary sasa hivi hata mambo madogo siwezi vumilia kitu kidogo kinaniumiza

Hatimaye nakunywaaa ndugu wala marafiki hawajui ulevi huu sinaga marafiki wa karibu yangu kila mtu namuona mbaya.
=====

Tazama thread hii na maoni yake yakisomwa ktk Jamii Leo

 
Pole sana sasa kama umelitambua tatizo kuwa ni pombe iache km unashindwa litakuwa ni suala la kisaikolojia zaidi
 
Duh!! Aisee hata mimi ningedata. Hujamsamehe mama yako ndo maana zile hisia za kukataliwa utotoni zinavuta watu wa aina ya mama yako. Sasa kama bila pombe unakuwa aggressive hicho kitoto si kinakukoma? Unamfanyia yale yaleee japo katika sura nyingine. Uzuri umetambua kabla hujaharibika zaidi. Ndo mwanzo wa ku-format ubongo wako utokee mtu bora zaidi badala ya mtu anayeendeshwa na kivuli cha ukatili wa zamani.

Tafuta msaada wa kisaikolojia. Kibongobongo wengi huenda kwa viongozi wa dini. Muhimbili wako clinical psychologists wanaoweza kukusaidia. Wewe mwenyewe pia unaweza kuamua kuvaa ujasiri ukajishusha na kumsamehe kila aliyekuumiza kisha uanze upya maisha.

Huyo mzazi mwenzio nae msamehe bure tu. Ukifatilia utakuta nae alikumbwa na vimbwanga kama wewe vinavyomfanya afanye huo ujinga. Hakuna mwanadamu mwenye afya njema ya nafsi anayependa kusambaza watoto na kuumiza mioyo ya wanawake. Nafsi yenye majeraha ndo hufanya mambo ya aina hiyo. Na wewe jeraha la nafsi yako limetoneshwa unaona mwenyewe mambo yanayotokea. Unakuwa mkaliii halafu baadae unajutia. SHUGHULIKIA MAJERAHA YAKO KABLA HUJAWAPATILIZA WENGINE MAJERAHA YAKO.

Halafu sikumbuki kama nimeona baba yako mzazi kwenye picha. Isije ikawa unawadhania mashosti wa mama ndo wabaya kumbe mbaya baba.
 
Pole Sana,namuomba Mungu akufanyie wepesi ktk kila linalokusibu

ACHA POMBE COZ HIYO NDIO INAYOKUONGEZEA MATATIZO.
 
Duh!! Aisee hata mimi ningedata. Hujamsamehe mama yako ndo maana zile hisia za kukataliwa utotoni zinavuta watu wa aina ya mama yako. Sasa kama bila pombe unakuwa aggressive hicho kitoto si kinakukoma? Unamfanyia yale yaleee japo katika sura nyingine. Uzuri umetambua kabla hujaharibika zaidi. Ndo mwanzo wa ku-format ubongo wako utokee mtu bora zaidi badala ya mtu anayeendeshwa na kivuli cha ukatili wa zamani. Tafuta msaada wa kisaikolojia. Kibongobongo wengi huenda kwa viongozi wa dini. Muhimbili wako clinical psychologists wanaoweza kukusaidia. Wewe mwenyewe pia unaweza kuamua kuvaa ujasiri ukajishusha na kumsamehe kila aliyekuumiza kisha uanze upya maisha. Huyo mzazi mwenzio nae msamehe bure tu. Ukifatilia utakuta nae alikumbwa na vimbwanga kama wewe vinavyomfanya afanye huo ujinga. Hakuna mwanadamu mwenye afya njema ya nafsi anayependa kusambaza watoto na kuumiza mioyo ya wanawake. Nafsi yenye majeraha ndo hufanya mambo ya aina hiyo. Na wewe jeraha la nafsi yako limetoneshwa unaona mwenyewe mambo yanayotokea. Unakuwa mkaliii halafu baadae unajutia. SHUGHULIKIA MAJERAHA YAKO KABLA HUJAWAPATILIZA WENGINE MAJERAHA YAKO.

Halafu sikumbuki kama nimeona baba yako mzazi kwenye picha. Isije ikawa unawadhania mashosti wa mama ndo wabaya kumbe mbaya baba.

Baba yangu ni mpole nampongeza kwakuwa pamoja na mambo ya mama na mashoga zake alikuwa ananigomneza tu ila ada analipa hakuwahi kunionyesha kutonipenda.
 
Wewe endelea kunywa tu maisha yenyewe ndio haya haya.

Ila nimekuona boya kweli kuishi na mwanaume miaka zaidi ya 2 bila kujua kama sio mwaminifu ama lah.

Wanawake baadhi yenu mna matatizo sana.
 
Pombe haijawahi kuniletea matagizo na mtu
Pombe haijawahi kukuletea matatizo kwa vipi wakati usipoinywa unakuwa na hasira na usingizi hupati? Kama unategemea pombe ikupe utulivu na usingizi basi pombe ni tatizo. Kama pombe si tatizo nini sasa kinakutisha? Si uendelee kunywa?
 
Maisha haya hayana mwenyewe,
Nilikuwa mtu mwenye kujiheshimu sana, kuwashauri watu juu ya matendo mema, niliishi nakujitahidi kuwa mfano wa kuigwa lakini sasa mambo yamegeuka.

Tangu utoto na ujana umenifikia sijawahi kuwaza na kunywa pombe ila sasa nakunywa tena kunywa kweli usiku hadi nilewe ndo nilale! sometimes naenda kwenye kuwasilisha ripoti za kazi kwenye kadamnasi maboss wakiwepo ila nakunywa ili nisipate mawazo katikati ya kazi(kama kitwanga alivyofanya)

Nisipokunywa nakuwa very aggressive kwa watu akinikosea kidogo nitampandishia hadi jioni nikirudi mwenyewe naona aibu machozi yananitoka Nimekuwa mtu wa ajabu sivyo nilivyokuwa zamani natamani siku zirudi nyuma kichwa kinaniumaaa!

Katika kukua kwangu wazazi wangu walinichukia sana hasa mama! nilisoma kwa shida hawakuwahi kunipa moyo! kila nililofanya ni baya natukanwa na naambiwa lazima ntafeli! shuleni nafanya vizuri najitahidi kufanya kazi kwa bidii nyumbani ili mama anipende ila wapii! mama yangu mkubwa& shangazi ndio walinipa moyo sana wakiniambia ni majaribu nitashinda! nilimaliza kidato cha sita bado bikra ila mama akishirikiana na mashoga zake wananiita malaya nilikuwa naumia niliahidi kutorudi nyumbani baada ya kupangiwa form five, ila imani ya dini iliniingia nikawasamehe nakuwapenda tena sana.

Sikuwahi kujivunia upendo wa wazazi japo ndugu na majirani walinipenda nankunisaidia sana mawazo n.k baadae nikaja kujua ni rafiki wa mama yangu alikuwa anamjaza umbea mama ili nisisonge mbele!

Nikiwa chuo mwaka wa tatu nikaona si vyema nikawa na mpenzi! hapa kidonda cha mfadhaiko wa kukosa upendo nyumbani kilitoneshwa, tulikuwa wapenzi bila kufanya chochote tukamaliza chuo ile nimepangiwa kazi tukawa wilaya moja hapo sasa pombe ikatiwa maji tumeweka mipango ya kuoana bado miezi 2 tukavunja amri ya 6 na mimba juu kwakweli huu msumari wa moto nilijichoma,

Bwana yule alikuwa na wanawake 3 kawazalisha (bado anakumbushia kwa 2) kawaahidi kuwaoa, sijakaa vizuri mara ananiambia tukanunue uganga akomeshe watu wanaomloga kidogo nizimie! hapo movie ilinoga na tukaachana nimebaki na mtoto wangu ila najikuta nna msongo wa mawazo wa tangu niko primary sasa hivi hata mambo madogo siwezi vumilia kitu kidogo kinaniumiza

Hatimaye nakunywaaa ndugu wala marafiki hawajui ulevi huu sinaga marafiki wa karibu yangu kila mtu namuona mbaya
Pole sana. Uko wapi? Nichek inbox nikuelekeze jinsi ya kupata matibabu. Am sure you will have your life back... I know your problem, I know how to solve it as well.
 
Baba yangu ni mpole nampongeza kwakuwa pamoja na mambo ya mama na mashoga zake alikuwa ananigomneza tu ila ada analipa hakuwahi kunionyesha kutonipenda.

Nilimaanisha mahusiano ya baba na mama huenda yalichangia kisirani cha mama. Kama baba kukugombeza tu (bila kukuchapa sijui?) na kukulipia ndo vipimo vya upendo basi .. si mbaya sana. Kama una amani na baba basi poa.
 
Pole sana dada una umri gani?tatizo
Lako limekwisha kwa kua tayari unajua chanzo cha kunywa pombe ni nini.kuna maswali si vema
Kukuuliza hadhar i njoo dm
 
Maisha haya hayana mwenyewe,
Nilikuwa mtu mwenye kujiheshimu sana, kuwashauri watu juu ya matendo mema, niliishi nakujitahidi kuwa mfano wa kuigwa lakini sasa mambo yamegeuka.

Tangu utoto na ujana umenifikia sijawahi kuwaza na kunywa pombe ila sasa nakunywa tena kunywa kweli usiku hadi nilewe ndo nilale! sometimes naenda kwenye kuwasilisha ripoti za kazi kwenye kadamnasi maboss wakiwepo ila nakunywa ili nisipate mawazo katikati ya kazi(kama kitwanga alivyofanya)

Nisipokunywa nakuwa very aggressive kwa watu akinikosea kidogo nitampandishia hadi jioni nikirudi mwenyewe naona aibu machozi yananitoka Nimekuwa mtu wa ajabu sivyo nilivyokuwa zamani natamani siku zirudi nyuma kichwa kinaniumaaa!

Katika kukua kwangu wazazi wangu walinichukia sana hasa mama! nilisoma kwa shida hawakuwahi kunipa moyo! kila nililofanya ni baya natukanwa na naambiwa lazima ntafeli! shuleni nafanya vizuri najitahidi kufanya kazi kwa bidii nyumbani ili mama anipende ila wapii! mama yangu mkubwa& shangazi ndio walinipa moyo sana wakiniambia ni majaribu nitashinda! nilimaliza kidato cha sita bado bikra ila mama akishirikiana na mashoga zake wananiita malaya nilikuwa naumia niliahidi kutorudi nyumbani baada ya kupangiwa form five, ila imani ya dini iliniingia nikawasamehe nakuwapenda tena sana.

Sikuwahi kujivunia upendo wa wazazi japo ndugu na majirani walinipenda nankunisaidia sana mawazo n.k baadae nikaja kujua ni rafiki wa mama yangu alikuwa anamjaza umbea mama ili nisisonge mbele!

Nikiwa chuo mwaka wa tatu nikaona si vyema nikawa na mpenzi! hapa kidonda cha mfadhaiko wa kukosa upendo nyumbani kilitoneshwa, tulikuwa wapenzi bila kufanya chochote tukamaliza chuo ile nimepangiwa kazi tukawa wilaya moja hapo sasa pombe ikatiwa maji tumeweka mipango ya kuoana bado miezi 2 tukavunja amri ya 6 na mimba juu kwakweli huu msumari wa moto nilijichoma,

Bwana yule alikuwa na wanawake 3 kawazalisha (bado anakumbushia kwa 2) kawaahidi kuwaoa, sijakaa vizuri mara ananiambia tukanunue uganga akomeshe watu wanaomloga kidogo nizimie! hapo movie ilinoga na tukaachana nimebaki na mtoto wangu ila najikuta nna msongo wa mawazo wa tangu niko primary sasa hivi hata mambo madogo siwezi vumilia kitu kidogo kinaniumiza

Hatimaye nakunywaaa ndugu wala marafiki hawajui ulevi huu sinaga marafiki wa karibu yangu kila mtu namuona mbaya
Ili upone yakupasa ujisamehe kwanza wewe mwenyewe binafsi, kisha mama yako mzazi, kisha maisha ya endeleee. Usipofanya hivo utakuwa mtumwa wa pombe......na ukiendelea hivo pombe itakufurahisha, utapata unachokitafuta.
 
Pole sana mgeukie Yesu pekee anasema njoni nyinyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha......njoo kwa Yesu Dada kuna furaha .

NB
Huwezi kupata raha ya kweli kwa kunitenga na ukuu wa MUNGU
Raha ya kweli ipo kwa Yesu
 
Maisha haya hayana mwenyewe,
Nilikuwa mtu mwenye kujiheshimu sana, kuwashauri watu juu ya matendo mema, niliishi nakujitahidi kuwa mfano wa kuigwa lakini sasa mambo yamegeuka.

Tangu utoto na ujana umenifikia sijawahi kuwaza na kunywa pombe ila sasa nakunywa tena kunywa kweli usiku hadi nilewe ndo nilale! sometimes naenda kwenye kuwasilisha ripoti za kazi kwenye kadamnasi maboss wakiwepo ila nakunywa ili nisipate mawazo katikati ya kazi(kama kitwanga alivyofanya)

Nisipokunywa nakuwa very aggressive kwa watu akinikosea kidogo nitampandishia hadi jioni nikirudi mwenyewe naona aibu machozi yananitoka Nimekuwa mtu wa ajabu sivyo nilivyokuwa zamani natamani siku zirudi nyuma kichwa kinaniumaaa!

Katika kukua kwangu wazazi wangu walinichukia sana hasa mama! nilisoma kwa shida hawakuwahi kunipa moyo! kila nililofanya ni baya natukanwa na naambiwa lazima ntafeli! shuleni nafanya vizuri najitahidi kufanya kazi kwa bidii nyumbani ili mama anipende ila wapii! mama yangu mkubwa& shangazi ndio walinipa moyo sana wakiniambia ni majaribu nitashinda! nilimaliza kidato cha sita bado bikra ila mama akishirikiana na mashoga zake wananiita malaya nilikuwa naumia niliahidi kutorudi nyumbani baada ya kupangiwa form five, ila imani ya dini iliniingia nikawasamehe nakuwapenda tena sana.

Sikuwahi kujivunia upendo wa wazazi japo ndugu na majirani walinipenda nankunisaidia sana mawazo n.k baadae nikaja kujua ni rafiki wa mama yangu alikuwa anamjaza umbea mama ili nisisonge mbele!

Nikiwa chuo mwaka wa tatu nikaona si vyema nikawa na mpenzi! hapa kidonda cha mfadhaiko wa kukosa upendo nyumbani kilitoneshwa, tulikuwa wapenzi bila kufanya chochote tukamaliza chuo ile nimepangiwa kazi tukawa wilaya moja hapo sasa pombe ikatiwa maji tumeweka mipango ya kuoana bado miezi 2 tukavunja amri ya 6 na mimba juu kwakweli huu msumari wa moto nilijichoma,

Bwana yule alikuwa na wanawake 3 kawazalisha (bado anakumbushia kwa 2) kawaahidi kuwaoa, sijakaa vizuri mara ananiambia tukanunue uganga akomeshe watu wanaomloga kidogo nizimie! hapo movie ilinoga na tukaachana nimebaki na mtoto wangu ila najikuta nna msongo wa mawazo wa tangu niko primary sasa hivi hata mambo madogo siwezi vumilia kitu kidogo kinaniumiza

Hatimaye nakunywaaa ndugu wala marafiki hawajui ulevi huu sinaga marafiki wa karibu yangu kila mtu namuona mbaya
wewe unapepo! nenda uokoke! utajikuta umerudi katika hali yako! nenda ujalibu alafu njoo ulete mrejesho! unaweza ukachukia tabia flani flani, lakini unajikuta unafanya! hata mimi imekuwa hivyo, lakini unapo mwita Mungu na kuaza kuomba! unashangaa kweli mambo uliyo yafanya ni machafu!
 
Back
Top Bottom