Recent content by kiker

  1. K

    Tundu Lissu: Sitarudi tena Tanzania hadi nihakikishiwe Usalama wangu

    Naona mimamluki ya Jiwe yamejazana humu..sio wengi ila wana ac nyingi sana unaweza kudhani unabishana na zaidi ya watu mia kumbe wanne tu...anyway kwa mtu mwenye ubinadamu na utu..hawezi kukejeli,kudhihaki wala kuchekelea kitendo alichofanyiwa Lissu..ni pale tu unapokuwa na roho mbaya ya...
  2. K

    Anatamani mtoto anaefanana na mimi

    hujawahi kutongozwa na mwanamke?..acha ushamba bwana..umetokea Chato au Kolomije?
  3. K

    Shemeji yangu mwenye umri wa miaka 39 anataka kuoa binti wa miaka 22

    Uliposema tu mpaka machozi yamenitoka..thanks dear..nikagundua kuwa wewe ndio mhusika!..huwezi kulia kwa kupewa ushauri unaoupeleka kwingine!..siku nyingine wewe jilipue tu..humu hatujuani!
  4. K

    Aliyeshindwa kusoma, kisa wazazi wake hawana uwezo, Rais amwambia; ‘’Kawaambie Walime

    Comforter in chief hawezi kutoa majibu ya kipuuzi kama haya kwa mtt mdogo kama huyu aliyepitia maisha magumu!,hayo maneno yake makali yataishi kwenye ubongo wa huyo mtt maisha yake yote..ni kama keshamwekea kilema cha maisha!she will not be the same again!..ningeomba wenye uwezo angalau...
  5. K

    Riwaya: Hekaheka za Komando Zedi Wimba na Jasusi Honda huko Somalia

    Mkuu wewe ni chuma cha moto hongera sana!
  6. K

    Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Kweli nimekubali hiki kitu ni kikali
  7. K

    Riwaya mpya: Mbwa wa geti

    Tunashukuru mkuu kwa kutupa burudani
  8. K

    Mkasa wa kweli : Kilichonikuta Iyole sitakaa nisahau

    Aisee..hii dunia ina mambo ya ajabu sana..hasa huku Africa!
  9. K

    Stori ya kusisimua - Kizungumkuti!

    Tunashukuru sana mkuu..hadithi ilikuwa ni ya kizungumkuti kwelikweli..ila napenda kutoa tu angalizo efficiency ya polisi ilikuwa kali sana..na sisi wananchi tungependa polisi wetu wawe kama hivi..lkn hawa wa kubambikiza kesi,rushwa,na upendeleo wa kivyama..kamwe hawatafikia level hii kwenye...
  10. K

    Riwaya: Mkono Wa Chuma

    Itakuwa ni vzr kama utaimaliza..maana heshima unayopewa hapa itaongezeka zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    TP Mazembe mnamuoa kweli binti yetu bi Hindu au unataka kumchezea tu!

    Vyura bwana..hivi lile bakuli lenu limeshafika tasaf..maana wabunge naona waliruka kimasai..usawa huu wa JIWE mtatateseka sana! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    MAJANGA: Shoppers (wauza mbegu) wafungasha virago!

    Huyo mwanakijiji ni mtu wa hovyo tu!..wewe unalinganisha uchumi wa USA na Tz!njoo ujionee hizo kampuni zingine zinazochipuka..zinapigwa nyundo na TRA hata kabla hazijachungulia udongo!hali ni mbaya ndg..sector zooote ni kilio tu!.. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    Rais Magufuli wa mtandaoni sio halisi, tunadanganywa

    Naona unajaribu kuutafuta ukuu wa wilaya kimtindo..nikupe mchongo..nenda kisarawe utapewa maujanja na mwenzako alifanyeje akapewa!..uwe tu jasiri..maana inaweza kuwa ni force force tu..but uzoefu unao! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Wakuu msaada wa hizi notes..

    Nenda book boon Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom