Recent content by kikaoi

  1. K

    Lissu: Kumkamata Harbinder Sethi na James Rugemalira ni sawa lakini haitoshi

    ubayani uko wapi. Na hawa anaosema wakamatwe wapo mubashara si wakutafuta. Point yake ina mantiki yafaa kuzingatiwa. Hapa hapingi anaunga mkono hoja lakini anakataa uonevu kila mwenye haki kwa mujibu wa matendo yake apewe. Naomba muunge mkono Lissu kwa hili.
  2. K

    Hivi wabunge ambao ni mawaziri huwa wanatumia jukwaa gani kusemea/kuwasilisha kero za wananchi wao

    Maslah ya serikali kwao ni muhimu kuliko maslah ya majimbo yao. Hapo ni utekelezaji na usimamisi ya maelekezo ya Rais kwenda mbele. Ukicheza unatumbuliwa. Wasaa wa kushughulikia jambo uko wapi. Ingependeza Mawaziri wasiwe wabunge wa majimbo kwa maendeleo ya haraka.
  3. K

    Natafuta rafiki/mchumba aje kuwa mume

    hii imani yako sio sahihi jambo la kubadili dini sio mchezo kama si hili kesho ungekuwa wangu. Ukifikiria kubadili dini kwanini usifikirie kubadili mume baadae
  4. K

    Lissu: Tuna vithibitisho na mashahidi wa utekaji toka serikalini, mawaziri mnaogopa nini?

    Mungu yako pamoja na watanzania wenye nia njema.
  5. K

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    I AM aE
  6. K

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Achana nae huyo jamaa jipange upya panga malengo yako ya kuolewa vizuri utapata tu mwenye heri nawe. Huyo sie.
  7. K

    Ni vigumu sana kumwelewa mwanamke!

    Umeongea sahihi. Lakini pia wapo wanaokataa vibosile Na kuolewa na mafukara kwa sababu ya kuwapenda tu. Watu hawafanani japo kuwa wote ni wa jamii moja. Hii ni sawa Na wanaume wanaojiegemesha kwa masugar mami si kwa mapenzi bali kujitafutia maisha tu.
  8. K

    Natafuta mchumba aje kua mume wangu

    Mkritu ni nini
Back
Top Bottom