Mzee kwanza kuteketeza mihadarati ni kazi ya polisi kwa mujibu wa katiba.
Pili, likigundulika shamba la bangi alieresponsible kutoa Maelezo juu ya mmiliki wa hilo shamba ni serikali ya mtaa,
Hapo wanakijiji hawahusiki kabisa, labda wanawezatoa ushirikiano kwa polis na viongoz wa mtaa ili...
Humu kuna watu vizibo Atari, mtu umeambiwa alichoagiza raisi kpo kinyume na sheria, na evidence zimewekwa! Ila mtu anareply Mara oooh, hwezi kusapot bangi ukabak salama, Mara oooh, diwani hawezi kusema kinyume na raisi, kwani raisi anamamlaka ya kuagiza kinyume na katiba?
KUNA MTU KASEMA...
*Mkuu issue sio kuvunja mkataba, kama iligundulika uwezowao ni mdogo bas maamuzi ya kuvunja mkataba ni sahihi.
Shida inakuja JINSI mkataba ulvovunjwa haukufuata sheria (ubabe ulitumika) kias kwamba Wale jamaa(SCEL) hawakulipwa baadhi ya stahiki zao kulingana na mkataba ulokuepo.
Ndo chanzo...
Nmefurah kwmba bado hakili yko ipo na utimamu kama ule tulouzoea, GET WELL SOON TUNDU LISU, HAKIKA MUNGU ATAKULIPA KWA DAM ULIYOVUJA NA MAUMUVU ULIYOPATA!
Dah! Ukiwa na mazoezi unakua comfortable ile mbaya kwa game! An unakuahuru kukimbia speed yoyte na kuslow down interchangeably, bila kuishiwa nguv, ukktana na mtoto ambae ana feelings(achana na wauza papuchi),,,, Lazima arudi kuomba irudiwe!
Co utani, kma una tatzo ukitupia kamba mbili mzigo...
Dah! Siamin kama neymar amefkia hatua ya kudharauliwa ivi!
Lakin knachomponza Neymar ni kwmba Anaonekana hajatulia na hata timu yake hajaisaidia sana katika nyakat ngumu, unajua thaman ya mchezaj ni pale anapoisaidia timu kupata matokeo pale ambapo ingekua vigumu. Ameikuta PSG inapata matokeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.