SACO
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 2,877
- 3,788
- Thread starter
- #21
Mkuu hayo nimeshamweleza haelewi . Shida ni kuwa hii issue wife hajui, akijua hii ndoa itakuwa at high risk! Nahitaji kuwa stable familyWewe nae huelewi au?!kwa makonda wanaenda watu waliotelekezwa sio kulalamika hela haitoshi...matunzo ya mtoto unatoa kutokana na uwezo wa kipato chako
