Kwa kweli sioni umuhimu wa hii habari,wala uwepo wake JF na sizani kam inamsaada wowote kwa mtanzania, kuna matatizo mengi sana tanzania ya kujadili kulikomboa taifa other than kukaa na kujadili kutishiwa kwa msaidizi wa RA who is he by the way, hata huyu RA hana uzalendo na nchi wala raia wake...