Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Kila mbinu chafu inatimika dhidi ya CDM. Naona hii ndiyo ilikuwa ajenda maalum ya kile kikao kilichoitishwa jana baada ya bunge kwisha kikihusisha ccm zanzibar na wake zao cuf
Huu ni msamiati mpya!
Wao ni wa kitaifa kwa sababu wana mbunge Mara??????? Au utaifa kwao ni Pemba tu?
Uko sawa mnooo. CUF wamefilisikaKwa taarifa hizi CDM sasa CV yake inazidi kupaa. Hawa wanaogopa vivuli vyao. Hawana cha kuwaambia wananchi, na wana uhakika kabisa wananchi wote wamewachoka. Hilo liko wazi.
Achana nao 2015 siyo mbali ingawa wao wanaona ni mbali sana.
Mbowe: kaza msuli Kamanda