Over pricing io.
Ushauri tuu, io laki nane bora uongeze mtaji wa duka, au tigopesa, bidhaa za maxmalipo hazitoki, mtandao mbovu, ukikosea transaction hela imekwenda. Nna uzoefu nazo kwaio najua nnachokiongea.
Pia lak na nusu ka mtaji ni ndogo sana.
Nashangaa kwann serikal haiwachunguz, wanauza...