Wakati wa Field Mashow Hassan Dalali umewadia.Chini ya Rage tumeteswa sana na wasomali wa Yanga,Bin Khleb na Manji,wwanajitwalia wachezaji wetu kama simba mwenye njaa anavyoshika swala serengeti.Mara Twite,Yondani,Bathez,shaban Kondo,Kaseja nk.Sasa watamchukua yeye Rage mwenyewe,
Ha ha ha ha ha...