mnachoshindwa kuelewa kuwa urusi hakuwa na nia ya kuiteka ukraine bali lengo lake ni kulidhoofisha jeshi la ukraine na ndo maana alikua anashambulia sehemu muhimu za kijeshi aliweza kuizunguka miji yote mikubwa.
PBZ wanaendesha biashara kwa namna mbili, kuna pbz islamic banking hiyo inafuata misingi ya kiislam na kuna upande wa kawaida huko ndo wanaendesha kama benki zingine wanavyofanya biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.