Miaka 10 ijayo kampuni ya Apple kukosa Soko Afrika

1635298445474.png

Mkuu Africa haipo kabisa kwenye Apple revenue check hapo.
 
Afrika ni soko kwa bidhaa used
Kwa hiyo iPhone 13 miaka mitano ijayo lazima zitaletwa Afrika
 
Wakati kwa Apple Africa kwao sio soko, ziko kampuni kama Transsion Holding (wamiliki wa brand ya Tecno, Itel na Infinix) wao wanazipi kupata faida na bara hili.
 
Sidhani maana hata simu nyingi za apple zinazokuja africa sio original from apple hq nyingi zinakua assembled in china which means soko kubwa la aplle haliko uku
 
Uongo wa wazi wazi
Uongo gani ndugu ingia apple store ya kwenye official website yao angalia bei ya kununua iphone 13 pro max or amazon alaf njoo apple store viva tower or mlimani city kaulize bei utaanza kujiuliza hv hz bei mbona tofuati na product ni moja?
Hizi simu zinazokuja Africa naona wamezitarget kabisa kuwa ni za africa ata kama ni OG ata SAMSUNG zile za Korea ni tofauti kabisa na hz zetu.
 
You only buy chinese brands because you are poor.

Only if you have substantial income, you would have not thought about oppos and redmis.

Apple's next market is emerging markets including africa as middle income class is rising who are the core market for apple products.

The saturation of apple products in EU, China and USA, will force apple to turn into South East Asia, Africa and South America.
 
hakuna chakupoteza, hizo unazoziona leo znabei ya kiwanja, kesho zitashuka thamani na kuuzwa bei za infinix, ni suala la muda tu, hata iphone5&6 nazo zlikuwa azikamatiki, lkn leo hii kila mtu anazo, yaan uku uswahilin zinauzwa kama karanga.

biashara ni ushindan hata hao wamilik wa apple wanajua nn wanafanya, na wana mipango yao ya muda mrefu kumaintain hali ya biashara kwa kipind kijacho, si ajabu wakaja na vifaa bora zaid na bei ya chini kulko wakina tecno.

udhaifu wa hii kampuni nikuaa inafanya biashra zaid na watu wenye pesa, yaan mataifa tajir, na kufanya bidhaa zao kutopata soko ktk mataifa masikin huku afrika, tofaut yao na makampuni ya kichina na kikorea,

samsung japokuwa ni kampuni kubwa, lkn wana bidhaa za kununuliwa na kila aina ya watu wenye chumi tofaut, mfano simu ya samsung unayonunua huku bongo, usizan itakuwa sawa na yayule aliyeuziwa USA, China, England, kama huamin kaangalie matoleo ya masamsung S-series yalivyo mabovu, na yaani betri kufa ni rahisi, pia kioo kuvunjika ni rahisi pia, sasa takataka kama hizi usizan znaweza pata kibari kuuzwa nchi zilizoendelea, na hapa ndpo kampuni ya samsung inajitahidi kuteka soko la biashara kwa kuwahudumia wateja wote bila kujal vipato vyao, kama wafanyavyo Apple.

dunia nayo inabadirika sizan kama iyo miaka unayosema kama kuna mtu atataka kutumi simu za hovyo, maana utandawaz utakuwa umekuwa sana na watu watajali kuwa na vifaa vya mawasiliano vyenye ubora bila kujali gharama, nazan hata sas unaona muamko wa watu mitaani kununua Iph12&13 wapo hata wasio maisha bora, lkn wamemudu kununua sabb ya kile kilchomo mule,
 
You only buy chinese brands because you are poor.

Only if you have substantial income, you would have not thought about oppos and redmis.

Apple's next market is emerging markets including africa as middle income class is rising who are the core market for apple products.

The saturation of apple products in EU, China and USA, will force apple to turn into South East Asia, Africa and South America.
Mkuu umesahau kuwa kuna Chinese Brands ambazo zinabei kubwa mfano Huawei, Oneplus, Xiaomi, oppo. Oneplus sasa hv ndio naona anachukua nafasi ya Huawei anatoa vitu hatar sana
 
Kuna simu wanatoa mwez huu mwishon OPPO FINDX21 iangalie vizur aisee hawa wachina hawafai kabisa
 
Back
Top Bottom