Leo Grande
Member
- May 1, 2019
- 19
- 8
Smart4G ya Tigo haina option ya kum block mtu kule contact na call history, wakat ya Vodacom inayo hiyo option
voda ndio wanazingua line zao.Mimi yakwangu laini ya voda nikiunga bundle nikijihostpot kwenye simu nyingine naweza ku access social media tu siwezi kuingia google wala kudownload document whatsapp ila line 2 nafanya vyote sasa sijajua ni yangu tu au wew yako ipo vipi??
picha pleaseHii mpya ya tigo nmeipaenda ilivo kamekaa amezing naskia hata chaji kanakaa, muonekano wake utazani Samsung
picha please
Nimeuliza swali moja: Vina usb tethering hivi vindude