Hapana si kweli.
Kiimani anaetoa Bikra ndie Mume hasa tena kwa agano la damu. Wengine tunajiegesha egesha tu.
Ni mambo yamebadilika tu. Ila Bikra ni muhimu sana hata Imani za dini zinatambua hili.
Huwezi kuvimba kabisa. Yaan ni kukaa kwa kutulia tu maisha yaende. Maana hakuna maajabu umefanya. In short its hard to be proud of her mbele ya watu wengine. Kama unaenjoy, basi utabaki unaenjoy ndani kwako tu kimya kimya (which is Good)
Hata Mimi binafsi ningefurahi sana kama mke wangu bikra yake ningetoa Mimi. Na ningekuwa very proud of her.
Lakini sifa za mke sio bikra pekee, nikakubali tu kufanya compromise.
Hayo ni mawazo yako binafsi kabisa. Kwa uzoefu wangu, Majibu ya tongozo huya yanategemea tu anayetongoza ni nani. Unaweza tongoza kizembe kama Mwamba hapo na Papuchi ukaichakata fresh tu. Na unaweza weka mbwembwe zote na ukaambulia patupu.
Hizo za moto unazoongelea nazo kuna uwesekano mkubwa ulipigwa Mkuu. Kuna vidawa vyao huwa wanaweka. Pambana na hiyo hiyo ya Baby wako... ndio natural hiyo.
Kuthibitisha uzima wa mitambo ni muhimu Mkuu. Mambo kabla ya kukutana huwa ni mengi sana. Usikute walisha korokochoa na kizazi huko.... wewe uje kupambana tu bila mafanikio. Hapana Aisee. Test Mapema ndio ubebe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.