Recent content by kijana mkimya

  1. K

    Rayvanny atwaa tuzo ya BET

    rayvanny ktk pozi la taifa
  2. K

    Mastaa wa Bongo wananunua followers Instagram

    wanazingua.wanaona aibu kusema ukweli wasionekane wamefulia
  3. K

    Mastaa wa Bongo wananunua followers Instagram

    Nimegundua wasanii wa bongo(wenyewe wanajiita mastaa) wengi wao wananunua followers instagram ili waonekane wanakubalika katika jamii. Imegundulika hata hao followes ambao wananunua wengi wao ni vivuli hawapo active instagram. Staa ana followers 1m lakini kila akiweka post anapata like 2k au...
  4. K

    Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

    hakuna mtu aliebaki upande wake zaidi ya mkewe. watu wote wamemkimbia wanamuona jamaa kawa kinyesi
  5. K

    Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

    nimepata nguvu ya ajabu ya kusonga mbele, we ulitaka nimuangalie akijagamba na kunufaika baada ya kunitapeli na kuniweka juani?? hakuna kitu kama hiko dunia ya sasa. ukija.mba wenzio wanaharisha!!
  6. K

    Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

    "samehe 7 mara 70" ni rahisi sana kuandika na kuutamka mdomoni ila ni vigumu kuutekeleza. binadamu tumeumbwa na kitu kinachoitwa kisasi. siku yakikukuta utaelewa namaanisha nini mkuu
  7. K

    Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

    mjini mipango mkuu, ukijitia kuleta ujuaji kuna watu wanajua zaidi yako!
  8. K

    Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

    kweli kabisa mkuu kiaina nimefarijika moyo wangu. sikuwahi na sitothubutu kwenda kwa mganga!
  9. K

    Alinidhulumu, nimemuharibia. Je, nimekosea wakuu?

    Kijana mwezangu tulikuwa tuna mpango wa kufungua biashara pamoja ila mwisho wa siku akajifanya mjanja akachukua mtonyo wote akafungua biashara kwa jina lake akanikana. Nilijiona fala maana nilikuwa sina uthibitisho wowote kama tulichangia baishara, nilimuamini kupita maelezo coz tulitoka mbali...
  10. K

    Hivi maisha yanawafanyaga nini wadada mpaka mvuto unapotea?

    Hii imenitokea sana unakutana mdada mliokuwa unasoma nae, kipindi yuko shule alikuwa anaonekana mrembo kweli alikuwa tishio kwa kila mtu ila ukikuta nae tena mtaani baada ya kupotezana miaka kadhaa dah utashangaa muonekano wake amenyorodoka anaonekana kama mchafu fulani hivi hana mvuto tena yupo...
  11. K

    nitaipata wapi hii tamthilia

    website gani naweza kuipata ktk subtitles ya english
  12. K

    nitaipata wapi hii tamthilia

    tamthilia ya zuhun
  13. K

    Ushauri: Wanaishi nchi za nje, mke anataka kurudi Tanzania, mumewe hataki

    dogo wa kwanza ana miaka minne, wa pili miwili
  14. K

    Ushauri: Wanaishi nchi za nje, mke anataka kurudi Tanzania, mumewe hataki

    kwahiyo mi dada?!! mkuu heshima haiuzwi, tuheshimiane.
Back
Top Bottom