kijana mkimya
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 277
- 121
Kijana mwezangu tulikuwa tuna mpango wa kufungua biashara pamoja ila mwisho wa siku akajifanya mjanja akachukua mtonyo wote akafungua biashara kwa jina lake akanikana. Nilijiona fala maana nilikuwa sina uthibitisho wowote kama tulichangia baishara, nilimuamini kupita maelezo coz tulitoka mbali.
Kwakweli aliniacha vibaya, kiaina nikashukuru Mungu, nikasema siendi kwa mganga wala vyombo vya sheria, nitatumia akili yangu ya kuzaliwa kumkomesha. Nimemfanyia figisufigisu kwenye biashara zake sasa wateja wote wamemkimbia. Biashara 1 amefunga hii nyingine mda si mrefu ataifunga vilevile maana anauza kimoja kimoja.
Jamaa asomeki kwa sasa afya mgogoro amekuwa mtu wa mawazo mawazo hawara amemkimbia amebaki na mkewe tu kwenye shida zake. Wakuu nimefanya vibaya kumharibia mtu kama huyu kumbuka aliniacha vibaya, nimefanya vibaya kumharibia?
Kwakweli aliniacha vibaya, kiaina nikashukuru Mungu, nikasema siendi kwa mganga wala vyombo vya sheria, nitatumia akili yangu ya kuzaliwa kumkomesha. Nimemfanyia figisufigisu kwenye biashara zake sasa wateja wote wamemkimbia. Biashara 1 amefunga hii nyingine mda si mrefu ataifunga vilevile maana anauza kimoja kimoja.
Jamaa asomeki kwa sasa afya mgogoro amekuwa mtu wa mawazo mawazo hawara amemkimbia amebaki na mkewe tu kwenye shida zake. Wakuu nimefanya vibaya kumharibia mtu kama huyu kumbuka aliniacha vibaya, nimefanya vibaya kumharibia?