Ili upate line ya uwakala wa tigopesa, mpesa etc (Till) lazima uwe na TIN pamoja na leseni ya biashara. Hapo ndipo unapolazimika kulipia kiwango cha chini cha Tsh 150,000 tra na leseni ya biashara ni kama Tsh 70,000 kwa mwaka kama sijakosea kwa manispaa hata kama hujaanzisha biashara bado.
Daah umenikumbusha mbali sana, moja kati ya masomo niliyokua nayapenda sana basi mathematics ni mojawapo na nilipata A (F4& F6) ila topic ya PROBABILITY, F4 ilinitesa sana. Ilifika mahali nilikua sifanyi swali lake kabisa kwenye section B mpaka niwe sina jinsi maana hata swali lake kulipata...
Habari wana JF na wadau wa jukwaa hili, kuna taarifa nimezipata kutoka kwa mdau aliyebahatika kupata kazi ktk tangazo la August,1 kuwa wale wote waliotumia anuani za DAR barua zao wanachukulia pale zilipo ofisi za sekretariet ya ajira kuanzia saa SITA mchana leo tar 4.8.2014.
Kwa wale waliotumia...
Habari wana JF.
Dada yangu amepigiwa simu kwa No. 0222771853 jioni ya leo akiwa anahitajika kwenye usaili utakaofanyika chuo cha Ardhi kwa post ya Assistant Accountant. Kutokana na tatizo ktk simu yake kuna maneno hakuyasikia vizuri kama tarehe ya usaili na muda. Wakati anauliza hivyo vitu simu...
Ni muda sasa umepita tangu hii kampuni itangaze nafasi za kazi. Katika masharti yao walitaka ujaze form yao kisha uitume kwa kutumia email waliyotoa. Katika form yao kuna sehemu walitaka ujaze taarifa zifuatazo:
Family details (Father, mother, sibling, wife/husband, children):
No
Full name...
Tunaomba mtu yeyote mwenye link atuwekee ili tuweze kufungua ktk format ya PDF. Nahisi kuna baadhi ya vitu havijawekwa ktk hii list iliyowekwa hapa JF. Mfano: Tarehe ya interview, itafanyikia wapi n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.