Recent content by kijabakari

  1. K

    JamiiForums Tanzania Makubwa: Mugabe ni shoga, mbunge adai na kusweka lupango!

    Hilo ndilo tatizo la viongozi wetu. Anyway hatujui huyu mbunge alikuwa anachangia mada gani.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Hizi tuhuma kwa Samwel Sita ni za kweli?

    Tadhali Kama unajua juu ya tuhuma hizi tufafanulie zaidi. Binafsi nashindwa kuamini kuwa Nyerere angeishia kumpa kazi nyingine katika serikali. Sitta ni mmoja wa watu waliofanya kazi kwa uadilifu sana.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Badilisha mfumo wa utoaji wa Leseni, Maisha yataokolewa mengi

    Ni kweli kabisa kama Fullgadiva J, alivyosema hapo juu.Chanzo cha tatizo la ajali nchini ni uendeshaji mbaya unaotokana na utoaji wa leseni kwa njia ya rushwa.Pili wanategemewa kusimamia usalama barabarani ndio hao wala rushwa wakubwa na pia wana magari yao binafsi ya biashara kwa hiyo...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kiti cha Kikwete na miujiza yake

    Hebu tutasaidie maelezo zaidi juu ya hiki kiti hata hivi karibuni alipokuwa USA alikuwa nacho?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini kupiga simu Tanzania kutoka UK au USA ni bei ghali sana?

    Hii swala hili la simu huenda pia linafanana na swala la tiketi ya ndege. Jubu sehemu kubwa kama mtu mmoja alivyoongelea hapo juu ni "Local Tarrifs imposed by the governmemnt" Jiulizekwanini ndege zinatua nakuja mafuta na kusafishwa Kenya na sijui ndege gani ya Kimataifa ina lala Uwanja wa...
Back
Top Bottom