Kiti cha Kikwete na miujiza yake

Sidhani kama ni kweli. Ina maana hata akifanya geographic expeditions ​zake uwa anakibeba?!
 
Nakumbuka alipokuwa anatangaza cabinet baada ya EL kujiuzulu aliwekewa kiti akaomba abadilishiwe. Kwa hiyo hii ya kutembea na kiti imeanza baadae, sio security issue. Ni mambo ya kijamii zaidi
 
Ni utara ibu wa rais kutumia viti vya ikulu hata mkapa and many presidents do tha same
kama obama atatembea na gari yake everywhere kiti ni minor thngs
just security isues

mkapa alianza utaratibu wa kutumia kiti kimoja baada ya kurejea ulaya alipofanyiwa operation ya mguu. kiti hicho kilitengenezwa mahsusi kutokana na maelekezo ya madaktari kutokana na tatizo lake. nadhani baada ya muda aliacha mtindo wa kutembea na kiti hicho
 
halafu nasikia kina gari spesho la kukibeba

hizo overheads zote za nini sasa? Inakuwaje kama mtumishi wa umma akiwa na "matakwa/mahitaji" kama haya? Je atatengnezewa naye kiti na gari special?
Hivi, kazi hizi wanafanyaga medical exams kabla kuanza kazi kuthibitishi wako fiti?
 
mkapa alianza utaratibu wa kutumia kiti kimoja baada ya kurejea ulaya alipofanyiwa operation ya mguu. kiti hicho kilitengenezwa mahsusi kutokana na maelekezo ya madaktari kutokana na tatizo lake. nadhani baada ya muda aliacha mtindo wa kutembea na kiti hicho

Naogopa kusema tena maana siioni msg yangu ya kwanza. But mhhh! Sometimes I don't understand people. Labda ni mila au mazoea!!
 
Back
Top Bottom