Unajua kwanini Millitary Budget ya USA ni kubwa? Ni hivi, Marekani inajihusisha kwa kiasi kikubwa na vita vingi duniani visivyomhusu na ndo maana budget yake ipo juu.kwa mfano mashariki ya kati majeshi ya USA yametapakaa huko ikiwemo Syria. Kwaio sio kwamba budget hiyo yote inaenda kwenye...
Habari wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina watoto mapacha wana miez miwili sasa. Kiukweli wameanza kusumbua hivi karibuni nafkri ni kutokana na kutotoshelezwa na maziwa ya mama. Nafkria kuanza kuwapa maziwa ya ng'ombe ila watakuwa wanaendelea pia kunyonya kwa mama yao.
Ushauri juu...
Nafikiri tatizo sio kuwa serikali haitaki kutoa mkopo kwa wanafunzi waliosoma shule binafsi, kilichopo hapa ni kwamba budget haitoshelezi kwaio lazima kipaombele wapewe wale wa shule za serikali. Serikali ina nia njema tu ya kuhakikisha wanafunzi wote wananufaika na mikopo ili kuwapa ahueni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.