Top 30 most powerful military powers 2018

Top 30 most powerful military powers 2018

Hivi kwa hapa africa bongo tupo namba ngapi jeshi kali
Labda 20+, wameiharibu na siasa, wakikuhisi tu kuwa umewapa Chadema kura wanaweza wakakufukuza jeshini.

Ilikuwa "One of the best five in Africa" wakati wa Nyerere lkn ikaja kuharabiwa na siasa baada ya mfumo wa vyama vingi kuja kwani "Professionalism" imetolewa kafara na sasa ni "Political Patronage" ndio mwendo.

Ktk nchi yoyote ukitaka kuua jeshi lako, ingizamo siasa. Hayo mataifa yanayosifiwa kwa kuwa na jeshi bora hawana kabisa siasa kwenye majeshi yao ni "Professionalism" tu. Na huwezi kukuta rais anaenda kufungua ka-culvert box tu eti ana mkuu wa majeshi kama "Body guard"...!!!!!
 
Sikuwa kujua kama Misri anamiliki Aircraft Carrier. Asante kwa kinijuza. Je hizi alinunua kwa Marekani au?
hizo ni helcopters carrier ambazo mfaransa alikuwa amuuzie mrusi kabla hawajashindana akaamua kuuza misri
 
PAMOJA na majivuno Nchi za Afrika tunaishi kwa kudra za Mwenyezi Mungu kiulinzi. Wakubwa wanaweza kusambarisha nchi zetu kwa muda usiyozidi "lisaa limoja"
 
Ukichukua ile military budget ya zile top 10 yaaani
$$(Egypt 4.4 + Germany 39.2 + Turkey 8.2 + Japan 43.8 + UK 45.7 + France 35 + India 51 + China 161 + Russia) = $432.9
Yaani uki combine nchi zote izo bado budget yake haifikii baba lao Uncle Sam $587

Umeliona hilo tu mkuu? Jaribu kuangalia tena utastaajabu zaidi ya hapo. Kuna nchi zina bajeti ndogo kulinganisha na nyengine lakini bado wamewapiku waliyo na bajeti kubwa kwa ubora wa kijeshi. Kwa hiyo, ukiingiza hoja ya bajeti itakosa mashiko.

Bila shaka ile hali ya kusema moja ya kigezo cha kuwa na jeshi bora ni bajeti, itapungua.
 
Military budget sio issue,
marekani lazima iwe na bajeti kubwa kwasababu ya operations zinazofanyika kwani zinatumika pesa,mfano kuweka base moja tu nje kwa miaka nenda rudi,ni gharama sana,
sasa marekani wanabase karibu 500 duniani,zinahitaji pesa zote hizo na huko ndso mabilioni yanakotomea,
huwezi linganisha na china ,ambae ana base moja tu,kwahiyo pesa zake zinaenda sana katika research na weapons developments,
ndo maana china wanavyafua manowari na ndege za kivita kama wanaduplicate,maana pesa haina matumizi mengi ya kuhudumia bases sehemu mbalimbali

Umenena vyema.
 
sasa mbona huyo south k,kila siku anamuhanya north korea? au mi ndo sijaelewa.
 
Ukichukua ile military budget ya zile top 10 yaaani
$$(Egypt 4.4 + Germany 39.2 + Turkey 8.2 + Japan 43.8 + UK 45.7 + France 35 + India 51 + China 161 + Russia) = $432.9
Yaani uki combine nchi zote izo bado budget yake haifikii baba lao Uncle Sam $587
Unajua kwanini Millitary Budget ya USA ni kubwa? Ni hivi, Marekani inajihusisha kwa kiasi kikubwa na vita vingi duniani visivyomhusu na ndo maana budget yake ipo juu.kwa mfano mashariki ya kati majeshi ya USA yametapakaa huko ikiwemo Syria. Kwaio sio kwamba budget hiyo yote inaenda kwenye millitary innovation and development
 
Uzuri ni kuwa nimejitahidi kuelezea kila kipengere mpaka nikatoa source...kwa mtu makini haina tena haja ya kuniuliza jambo lolote kwan maelezo niliyotoa yanajitosheleza


Active Personnel ya US na Russia umekosea. Russia wana fewer active soldiers compared to US
 
Hapo kwenye firepower ya India na Pakistan, inaonyesha ni kiasi gani nchi hizi zina uhasama mkubwa sana
 
Tanzania tukomae nasi tuwe japo ktk 20 bora
Nalog off
 
Back
Top Bottom