Recent content by kiibodi_woria

  1. kiibodi_woria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Precision is......????....🤣🤣🤣🤣 Dah...how much percentage did precision air have in market share when it comes to civil aviation in our country....??
  2. kiibodi_woria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hapo ndiyo jamii yangu ya wa Tanzania huwa inanifurahisha.... mtu anakataa data....aibu naona mimi...😅😅😅😅😅
  3. kiibodi_woria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮.......paid slaves of Tanganyika....nyie CCM sycophants bana sasa ni upuuzi gani huu.....au ndiyo walipwa buku 20 kusukuma 'hashitagi'
  4. kiibodi_woria

    Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

    Hii niliiangalia kitambo sana BUT as usual your stories are very interesting at the beginning then later they became business as usual, ndiyo maana the big question is now tushafahamu waislam hivi waislam wa Tanganyika vile....then what next...??? je, maandiko yako ya Historia hasa kuhusu...
  5. kiibodi_woria

    Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

    Waislamu wa pwani lazima watakupa nishani kwani ni wazuri katika kulalamika na kujikweza,......wanapenda kuunasibisha uislamu na uarabu, pwani ndiyo kuna concepts za mfumo kristo kwa wingi sana. Mostly historia yako naona imelenga zaidi kuelezea jamii ya ma babu zako akina Sykes though siyo...
  6. kiibodi_woria

    Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

    Hapana mkuu, mimi ni kiongozi katika level ndogo sana.....level ya familia yangu, na katika misingi ya kiislamu bado sijafikia level ya kuongoza kundi la watu.....uislam una miiko yake katika uongozi. Hoja yangu kubwa ni kuwa historia hii aliyoandika na kuitangaza mzee wetu Mohamed Said lengo...
  7. kiibodi_woria

    Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

    Mzee unajua unachoteteaga hata hakijulikaniki, KINDLY hebu elezea historia hii ambayo wewe umeiandika inasaidia nini jamii ya kiislam kwa sasa. Mufti aliwahi ongea kuwa sisi karibia kila kitu tumepewa na serikali, please it will be worthy to explain how Muslim can re write the History.....bora...
  8. kiibodi_woria

    Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

    Very sad....nadhani mzee Mohamad said angetumia pia muda wake kuelezea historia hiyo itusaidieje kwa huu mkwamo wa kimaendeleo katika jamii hasa ya kiislam.....kwa sababu tumelalamika muda mrefu, hata lengo la maandishi ya mzee huwa halieleweki kwa kweli nimesoma muda mrefu sana ila hata...
  9. kiibodi_woria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tanzania Tv abroad ni mduanzi sana.....😡😡😡😡
  10. kiibodi_woria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    My fellow country men are so contradictory.......🤔🤔🤔 just get used to them.......😁😁😁, si unaona humu wanashambuliana wenyewe......
  11. kiibodi_woria

    Mwanangu Makonda, umeichoka na kuikinai nafasi yako chamani?

    By the way alishajichanganya.....nasikia akaropoka eti 'Mbowe ni mnufaika coz alifutiwa kesi za kisiasa....', yaani unajifunga own goal wakati unashambulia....😁😁😁
  12. kiibodi_woria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hivi kati yenu nani anamkula mwenzie....😁😁😁
  13. kiibodi_woria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wewe marketing ofisa au mchambia mwiko tu.....nyie ndiyo mnazunguka na mafurushi ya mizigo viatu vimewaponda.....acha kushoboka shoboka....kama unakosa hoja uwe unafunika kundu lako
Back
Top Bottom