Recent content by kiibinda

  1. kiibinda

    Wanaume waliojipata kimaisha. Kitu gani kinafanya sisi wengine tuchelewe kufanikiwa? Tunaomba ushauri wako

    Punguza kuoga sana. Wengi waliofanikiwa stori zao za kuoga ni chache sana.
  2. kiibinda

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Diamond ametukosea Sana wabongo baada ya kusema wadada wa Kenya wanaelimu ila Dada zetu wa Tanzania wana utamu. Diamond anapaswa kutuomba radhi watanzania
  3. kiibinda

    Naombeni ajira ya urubani

    Vinajana tunao wategemea katika ujenzi wa Taifa ndio hawa
  4. kiibinda

    Naombeni ajira ya urubani

    Hahahha 😂
  5. kiibinda

    KERO Maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka HESLB michakato ni mingi

    Kwa sasa Bodi ya mikopo imeweka kipengele cha REFERENCE NUMBER, kwenye sehemu ya Demographic details. Hii imekuwa shida sana, inalazimu uende ofisi za serikali za mitaa uende ukapatiwe barua ya utambulisho ambayo inatoka kwa njia ya online kwasasa. Hili limekuwa tatizo, kwanza watendaji...
  6. kiibinda

    Nguvu ya wanawake kupush wimbo wao wa 'Wanawake Moto' ni ndogo sana

       Kuna wimbo flani hivi wa wanawake, Jokate kachukua wenzie wakaenda usafini wakapewa Mboso wakachora verse studio wakashusha kichupa, nilivyoona chakuwasifia wanawake, nikajua huko Tiktok hakushikiki. Nafika Tiktok mabinti wala hawafanyi challenge ya kichupa chao. Wamevurugwa na Mapenzi tu...
Back
Top Bottom