Recent content by Kihonda Kanisani

  1. K

    JamiiForums Tanzania FT' Coastal Union 0: 1 Yanga | NBC Premier League | Jamhuri Dodoma | 07 Dec 2025

    Maisha yamebadilika kama Hadi sasa kuna komenti 6
  2. K

    JamiiForums Tanzania Putin: Kama Ulaya inataka vita na Urusi tupo tear ata sasa

    Wapiganiane kwako mambo ya kupiganiana ukraine Mara bongo mara DRC mara Venezuela hatutaku
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dar: Fortunatus Buyobe adaiwa kutekwa na wasiojulikana

    Safari hii kinawaka tunaanzia champion, manzese mjini kati
  4. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dar: Fortunatus Buyobe adaiwa kutekwa na wasiojulikana

    Nadhani sasa nimeamini hata mimi upo wakati naweza kutekwa Nimejiridhisha kifo kipo hata kama sijaandamana, hivyo tarehe 9 tukutane barabarani kulikomboa taifa . Haiwezekani wachache kutoka visiwani na division zao 4 waje kutuweka roho juu mamilioni ya watanzania
  5. K

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi asisitiza umuhimu wa kulinda mazingira na muungano

    Amani hajazungumzia wala kuisisitiza??
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe sisi waislamu ndo tunaeneza vita ya udini Tanzania

    Hii dini ya kiislamu ukiifuatilia msingi wa mafundisho yake ni kama watu wanaojipa haki kupita mtu mwingine kitu ambacho kimefanya waone kupewa haki huko kama dini yao ni dini sahihi ya kufika mbinguni. Matukio kama kuchoma makanisa, but ha za kitimoto au kuchapa watu bakora wanaokula chakula...
  7. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

    Tabia za kizanzibari analeta bara kubaguana kwa dini . Mpemba anamuona muomani ni ndugu yake kuliko mkristo mwenzake wa fuoni. Kuna uhusiano mkubwa kati ya uislamu na kukosa uvumilivu kama unawajua waislamu hutabisha hili. Sio muda tutaanza kuwaona waislamu wakichoma mabucha ya kitimoto na...
  8. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

    H Chuki zisitufanye tukosoe kila kitu hadi kizuri. Tofauti na Zanzibar kuna hospital gani inatoa tiba bure hata kama serikali inamkono wake? Hizo za serikali unakufa kwenye benchi kama Huna hela ndio iwe bugando
  9. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dr Kibaba Furaha (aliyekamatwa na Polisi) adaiwa kupigwa na kuteswa sana, yupo ICU hospitali ya mkoa Geita

    Mkagueni makalioni . Kanuni yao kubwa ukisikia mtu katekwa lazima wamfire,wakiwa wanamfira Polisi huwa wanakana kuhusika kumkamata, wakimaliza wanawapa Polisi,ndio Polisi wanatangaza tunamshikiria mtu fulani.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Samia amethibitisha alivyo mdini tena mzembe

    Ndio amani ndio ilifanya wazaramo wazaliwe Wakefield na wafie bagamoyo ila kwa hali hii hakuna anayetamani kuishi yeye na kizazi chake tanzania. Anasema watu wamvumilie muda wake utaisha ,unawezje kuvumilia kila siku watu wanafuatwa nyumbani kuuawa? Hiki cheo cha makamu wa rais kitazamwe upya...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Samia amethibitisha alivyo mdini tena mzembe

    Baada ya miaka kadhaa tutaanza kusikia waingereza na wafaransa wenye asili ya kitanzania
  12. K

    JamiiForums Tanzania Itachukua miongo mingi sana kuipata tena hotuba hii iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan

    Ukisoma histori za madikteta wengi utagundua walikuwa na wapambe wakuwapa sifa bandia,
  13. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande ataja mambo 6 yanayoenda kuchunguzwa na Tume ya uchunguzi

    Kwamba kumbe JF inawezekana kuwa expert member mpuuzi
Back
Top Bottom