Habari zenu wadau.... Mi ni form six leaver nataka Niapply SUA nimelipia ile ya ada ya sh.10000 lakini nashindwa kuendelea sababu password sina.... Naomba mnisaidie njia lahisi ya kutumia ili kupata password
Jamani mimi naomba mwenye mawasiliano (namba za simu) za shule ya St. mary's ya mbeya ya wasichana (advance) anisaidie ,, then na anaefaham ada yao asisite kunambie
ata matokeo yao ya kidato cha sita mwaka huu pia asisite kunambia
God bless you
Ndugu zangu nimeamua niandike baada ya kukereka kwa muda mrefu, sisi sote ni watanzania na kila mmoja wetu anatamani siku moja aione Tanzania ikiwa pazuri kimaendeleo.
Sasa mimi nashindwa kuelewa kuna wale watu ambao wameonyesha hisia zao kabisa kwa kusuport vyama fulani basi ningewaomba...
hongera kwa wewe unae jielewa ila kumbuka upo kama bendera tuu unafuata upepo,, ingekua vizuri zaidi ungejichunguza vizur kwanza wewe then ndo ukaanza kuwambia hivyo hao wapinzan wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.